Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
- Thread starter
- #21
maziwa ni tanga fresh tu
Naunga mkono hoja
maziwa ni tanga fresh tu
sinywi tenandugu yangu achana na hayo maziwa mm niliyanunia nikayaweka mdomon fundo moja nikatema nikayamwaga.. maziwa yana test kama tui la naz lilikokaangwa yaan wameweka vikolombwezo ambavyo vimeondoa maana halis ya maziwa kwa kifup situmii kinywaj chochote cha azam .. maana hata hzo soft drinks zao composition yake haina viwango
Ha ha ha pole mkuu biashara matangazo. Kwan watakao dhurika ni wao. Mambo mengine akili ku-mkichwakunyweni asas diaries kama vp ila mbona azam tv hua wanaonyesha jinsi maziwa yao yanavotengenezwa na wanaonyesha ng'ombe kabisa wakikamua?
Ni kweli kabisa nami nilitaka kuweka post hapa yale maziwa ni machunguNishakunywa kama mara tatu, lakini kila nikinywa najiskia hovyo kama naumwa, vipi jamani haya Maziwa yana ubora kweli au ndio tunalishwa sumu kiaina?
Mkuu kabla hujanywa maziwa Ahakikisha Tumbo halina gongo au pombe za moshi.Nishakunywa kama mara tatu, lakini kila nikinywa najiskia hovyo kama naumwa, vipi jamani haya Maziwa yana ubora kweli au ndio tunalishwa sumu kiaina?
Nilifikiri ni mimi mwenyewe! Siku nilipokunywa yale ya kwenye boksi la buluu tumbo liliniuma siku nzima!Nishakunywa kama mara tatu, lakini kila nikinywa najiskia hovyo kama naumwa, vipi jamani haya Maziwa yana ubora kweli au ndio tunalishwa sumu kiaina?
Mh nakubaliana wa ww kuwa yamethibitishwa lakin kumbuka tbs sio kila muda watakuwa wanakagua. Wao wakisha kugua vitendea kazi vyako na biadha wanaludhibitisha. Sasa kama huu ukanjanja umeanza saiv. Siku zote mtukiaji wa mwisho ndio inspector wa ukweli sio hao tbs. Kama hujalalamika na tbs hawajapata taarifa watajuaje sasa???Mkuu kabla hujanywa maziwa Ahakikisha Tumbo halina gongo au pombe za moshi.
Usipofanya hivyo utaendelea Kuhara mpk ukauke maji mwilini.
Maziwa ya Azam yamepitishwa na TBS. Hakuna ujanja ujanja hapo.
Tatizo ni wewe Sio Maziwa.
Mfanya biashara km Azam hawezi kufanya upuuzi wa namna hio hata siku moja.Mh nakubaliana wa ww kuwa yamethibitishwa lakin kumbuka tbs sio kila muda watakuwa wanakagua. Wao wakisha kugua vitendea kazi vyako na biadha wanaludhibitisha. Sasa kama huu ukanjanja umeanza saiv. Siku zote mtukiaji wa mwisho ndio inspector wa ukweli sio hao tbs. Kama hujalalamika na tbs hawajapata taarifa watajuaje sasa???
Nilijua tu lazima ulete udiniMfanya biashara km Azam hawezi kufanya upuuzi wa namna hio hata siku moja.
We unafahamu kosa la Kuwauzia wananchi Chakula au kinywaji kilicho nje ya kiwango?
Kwa upuuzi huo anahatarisha Kufungiwa VIWANDA VYAKE VYOTE na Kupigwa Faini ya mamilioni ya pesa.
Maziwa ya Azam yananywewa na Mamilioni ya watanzania.
Sasa itokee hata watu 100 tu wapelekwe hospital kwa matatizo ya hayo maziwa Ujue Azam tumo ktk SHIDA kubwa sana.
Hawa wanaohara ovyo ni Walevi wa Pombe za buku jero!
Ukute maisha yake yote bia anakunywa Christmas mpk Christmas au apewe divai ya bure kanisani.
Matokeo yake tumbo limezoa Gongo. Sasa likikutana na maziwa hali ya kuwa liko Tupu anahara ovyo .
Watakufa Kwa Gongo hawa watu.
Mkuu kabla hujanywa maziwa Ahakikisha Tumbo halina gongo au pombe za moshi.
Usipofanya hivyo utaendelea Kuhara mpk ukauke maji mwilini.
Maziwa ya Azam yamepitishwa na TBS. Hakuna ujanja ujanja hapo.
Tatizo ni wewe Sio Maziwa.
Teh teh teh.Nilijua tu lazima ulete udini
Ni kweli kabisa nami nilitaka kuweka post hapa yale maziwa ni machungu
U said it all. In fact maziwa ya azam sio maziwa halisi sema tu ni habari ndefu lakini nitadondosha links ili mjue what is all about the so called maziwa ya azamndugu yangu achana na hayo maziwa mm niliyanunia nikayaweka mdomon fundo moja nikatema nikayamwaga.. maziwa yana test kama tui la naz lilikokaangwa yaan wameweka vikolombwezo ambavyo vimeondoa maana halis ya maziwa kwa kifup situmii kinywaj chochote cha azam .. maana hata hzo soft drinks zao composition yake haina viwango
Dah! Khatari kweli kweli !Mkuu kabla hujanywa maziwa Ahakikisha Tumbo halina gongo au pombe za moshi.
Usipofanya hivyo utaendelea Kuhara mpk ukauke maji mwilini.
Maziwa ya Azam yamepitishwa na TBS. Hakuna ujanja ujanja hapo.
Tatizo ni wewe Sio Maziwa.