Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Wewe una uthibitisho Marehemu hajui?Uthibitisho ni nini na unapatikanaje?
Wewe una uthibitisho marehemu anajua?
Wewe una uthibitisho Marehemu hajui?Uthibitisho ni nini na unapatikanaje?
Wewe una uthibitisho marehemu anajua?
Nimekuuliza, uthibitisho ni nini na unapatikanaje?Wewe una uthibitisho Marehemu hajui?
Misiba na ndoa wapi na wapi bwashee?Nataka nikwambie ukweli,Leo uamini ndugu yangu,wanayofanya waisilamu yameamrishwa na Mwenyezi Mungu,na wanayofanya hao wengine wamejiamulia wenyewe.
Kuna vitu vingi sana mfano ndoa,mnaambiwa kama ikifikia kuachana muachane Kwa wema,nakushauli mtafute Muisilamu aliye karibu yako atakufundisha mambo mengi sana
Dini zinagawanya watu tu.Umenena vyema Sana mkuu...umetembelea kauli ya bwana mtume s.a.w ya kuwa SEMA ukweli japokuwa unauma,ndio maana wasio waislamu wamekushambulia.
Katika uislamu ukifa sio kwamba ndio umemaliza Bali kaburini Pia kuna maisha ambayo ni ya muda mrefu zaidi kuliko haya ya duniani,hivyo huko nako kuna maisha ya starehe kwa aliyeishi vizuri duniani na maisha ya tabu kwa aliyeishi kinyume na maamrisho ya Allah s.w na mafundisho ya bwana mtume s.a.w.
Mtu yeyote anayeondoka duniani akiacha madeni yasiyolipwa hawezi kuiona pepo hivyo ndio maana waislamu hutangaza Kama kuna anayemdai marehemu kujitokeza ili alipwe.
Ukifa ndiyo kwanza mambo yako yanaanza Kwa Imani ya kiisilam,iwe kuadhibiwa au Kwa kulipwa wema wakoUkifa mambo yameisha hakuna kutakiana heri wala kumuombea msamaha marehemu bwashehe..
Mbona mambo madogo yanakupiga knockouts bwashee au ndio umebakia na akili za kumsifia mjomba tu
Dini zinagawanya watu tu.
Wewe hapo pia umetunyanyapaa tusio Waislamu kwa kusema tumemshambulia.
Mimi si Muislamu na sijamshambulia mtu.
Tafadhali kuwa specific.
Ama kama unataka nianze kushambulia naweza.
Hizo zote ni Ibaada za Mwenyezi Mungu,nimejikita kukujibu maada yako jinsi Uisilamu ulivyokuwa mzuriMisiba na ndoa wapi na wapi bwashee?
Wewe unajua kusoma kwa ufahamu?Wewe unapewa elimu,aliyekushambulia nani
Unatwakimu au unaongea tu.? Bro. Utajiri haupimwi kwa ndoa ;pia utajiri haupatikani kwa kazi za kuajiriwa hasa za serikali?Wewe sema maisha yamekuchapa wewe kwani lazima kufunga harusi kubwa mbona wengi tu wanaenda kanisani mtu namtuwe wanamaliza kingine nikusaidie tu hii amsha amsha ya harusi inafanya watu tufanye kazi na kusaka pesa sana na ndivyo inavyotakiwa ili pale unapoona aibu mbona mwenzangu kafanya kubwa na wewe inakupa mori ya kusaka zaidi, jaribu kuchunguza waislam wengi ni masikini coz wamejizoesha wenyewe kutokutaka vikubwa na imepelekea hata kimaendeleo wapo nyuma sana kama hujui nakupa hilo
Subiri huo uthibitusho mkuu mbona unakuja....utaelewa tu,lakini utaelewa wakati ambao huwezi kusawazisha.Kuna wenzio walikuwa na kiburi Kama chako na sshv wapo udongoni,utarudi tu subiri.Uthibitisho ni nini na unapatikanaje?
Wewe una uthibitisho marehemu anajua?
Uthibitisho unakuja lini? Na unajuaje hiyo habari si habari ya danganya toto tu?Subiri huo uthibitusho mkuu mbona unakuja....utaelewa tu,lakini utaelewa wakati ambao huwezi kusawazisha.Kuna wenzio walikuwa na kiburi Kama chako na sshv wapo udongoni,utarudi tu subiri.
Kwa sababu uelewi hata unachouliza Wala kujibuNimekuuliza, uthibitisho ni nini na unapatikanaje?
Hujajibu.
Kabla hatujakubaliana uthibitisho ni nini na unapatikanaje, jibu langu kwako linaweza lisiwe na maana sana.
Kwa sababu unachokiita uthibitishowewe na ninachokiita uthibitisho mimi vinaweza kuwa si kitu kimoja.
Ndiyo maana nimekuuliza.
Uthibitisho ni nini?
Uthibitisho unapatikanaje?
Hujajibu.
Unajua kusoma kwa ufahamu?Kwa sababu uelewi hata unachouliza Wala kujibu
Kwa hiyo watu wakikuombea inasaidia nini huko unapokuwa umeendaUkifa ndiyo kwanza mambo yako yanaanza Kwa Imani ya kiisilam,iwe kuadhibiwa au Kwa kulipwa wema wako