Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

ICC ina mngoja JK maana ni utwala wa udhalimu na ukiukwaji wa haki za bina damu,KENYATTA alifanya udhalimu leo yupo wapi?si amewafuata wakina TOM MBOYA
 
Marehemu Judith Nilisalimiana naye muda mfupi kabla mauti haijamkuta nikaenda kuchukua vocha,wakati nipo njian ndo bomu likalipuka. ccm wanakomaza nafsi zetu kdogo kdogo. RIP kamanda

hukwenda kuchukua vocha bali ulienda kulipua bomu wewe. mchawi amejitaja hapa
 
hapa bodaboda naona wanatumika vibaya kama ile mipira ya kiume na kike. kumbe akina muhogo mchungu wametoa tangazo linalowagusa watu fulani
 
Mungu ni mkuu, na anakerwa na mauaji ya makusudi kama haya nina amini na kwa hakika najua huyu na wote waliomtuma kutekeleza unyama huu hawatapona, vilio na sauti za maombolezo ya msiba huu vitawafuata maisha yao yote..
Pumzika kwa Amani dada yangu Judith
 
Laws and orders are unquestionable -- why this can not get in the heads of your gangsta CDM leaders

we Tanzanians the mistake we have done is to allow the Gangsters and Dons to be responsible for keeping laws and orders , so what chadema is doing now is to trying to restore laws and orders we lost kwa hayo majitu ya chama cha mauaji(ccm).
 
Watu ni wengi sana kwenye makaburi mahali mwili wa Judith unapumzishwa, ibada inaendelea!

Kwa umati huu ulivyo sina la kusema zaidi ya kusema "CHADEMA is one product with the same standard"!

Chadema ni mpango wa Mungu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Iam lost of words.Asanteni sana Arusha kwa umoja na mshikamano.

RIP Mpambanaji.
 
hapa bodaboda naona wanatumika vibaya kama ile mipira ya kiume na kike. kumbe akina muhogo mchungu wametoa tangazo linalowagusa watu fulani

Unahangaika sana lakini iko siku Mungu atakuumbua na utabaki uchi wa mnyama.
 
R.I.P dada Judith.

Umemaliza kazi yako. Kwa sisi tuliobaki, njia pekee ya kumuenzi na kutomsaliti kamanda Judi ni kuendeleza mapambano dhidi ya udhalimu, uonevu, unyanyasaji na ukandamizaji wa aina yoyote. Na hili ni jukumu langu mimi, wewe na yule.

Shime tusivunjike moyo kwa haya yanayotokea bali tutiwe nguvu mpya...TWENDENI!
 
mkuu unataka watu waache kuomboleza wakusome ok umeshindwa.RIP dada yangu judith damu yako iliyomwagika soweto ikawe chanzo cha mabadiliko

Unajibizana na Mzimu!!!
 
mambo ya lameck hayo na washirika wake hivi mliofanya haya mambo mnajisikiaje
 
|Rest in peace kamanda Judy, damu uliyomwaga italia miyoyoni mwa maikteta hawa hadi kizazi chao cha nne kitanuka damu tu. Mungu atakuwa na wanyonge wa Tanzania, wanajifanya tajiri wa leo ila siku ya jehanamu wataomba kidole kichovye kwenye maji wapoozwe.
 
Poleni lakn angalieni mabomu aliyoenda kuyanua nchemba a.k.a savimbi huko china hayajaisha

Kwa kweli kama aliyehusika na vifo hivi hatatubu, ajue hukumu ya kwenda jehanum iko karibu. Si sawa sawa mtu kuondoa roho ya mtu mwingine wakati hujui utaondoka lini. Very very unfair. Ebu fikiria familia yake na wapendwa wake. Mungu wafariji familia za wafiwa. Naomba uwape amani. Amen!
 
You may Wound us, but you won't stop us, You may kill us but we won't retreat......Ipo siku....sio mbali sana! Naiona saa ya ukombozi ikija kwa kasi. CCM MUST GO! R.I.P Ms. Judith....umemwaga damu yako kwa ajil ya vizazi vijavyo....tunajua lengo ni kuwatishia watu wasije kwenye mikutano yetu, kuwatisha kina Mama na watoto wasiunge mkono harakati za ukombozi, kifo chako kitakuwa reference ya watu wema na wabaya, wema watachukulia kifo chako kama catalyst wakati wabaya watattolea mfano kifo chako kama njia ya kuwazuia kina Mama na watoto wasiunge mkono harakati. Watasema "vita ikitokea watakaokufani kina Mama na watoto kama kule Arusha". Inauma sana lakini yana mwisho, kila nafsi itaonja mauti na kila mtu atasimama mbele ya kiti cha hukumu. Hata hivyo kabla ya kusimamam mbele ya kiti cha enzi kujibu makosa yetu lazima tuhukumiwe kwanza hapa duniani. Inauma sana, hakika inauma sana
 
Back
Top Bottom