Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

jamani ccm huyo mtoto wa marehemu mtakuja kumweza nini

jana nililia baada ya kumsikia huyo mtoto akimuliza mjomba wake "mama yangu amekufa na wanamficha, nitakuja kumuiba" ilionyesha hahui hata kufa ni nini..
 
mkuu hadi machozi yamenitoka.
jana nililia baada ya kumsikia huyo mtoto akimuliza mjomba wake "mama yangu amekufa na wanamficha, nitakuja kumuiba" ilionyesha hahui hata kufa ni nini..
 
mkuu mbaya zaidi huyu mtoto akikua atakuja kuona mkanda wa mama yake alivyouawa na hapo ndo atakuwa na mawazo ya kujitambua.mimi nasema tu ukiangalia palestina mtoto anabeba jiwe kupiga kifaru ndo ivyo ivyo hawa watoto wakikua na kuona picha za mama yao akiuliwa hatakuwa na amani na wauaji
mkuu ungemuona wakati anaongea usipotoa machozi basi una moyo wa kinyama kama ccm warusha bomu na risasi...
 
[h=3][/h]





Jamani kama juzi ingekuwa hivi kwani mabomu yangetokea wapi?
 
Inasikitisha sana ma-CCM yanachekelewa watu kuuawa kwa mabomu sababu wanataka UCHAGUZI wa madiwani Arusha usifanyike maana walishajua hawatashinda.
 
ivi aliyefanya hivi anajionaje hivi sasa
 
Inauma sana, hasa kuona picha ya mtoto wake!

Mungu Ampumzishe mahali pema!
 
CCM mna pesa na majeshi,
CHADEMA tuna MUNGU na
WATU...hamtatuua wapenda
mabadiliko wote nchini...
 
Tuko kwenye msafara kuelekea sokoni I kwenda kumpumzisha ndugu, mpendwa wetu Judy William,nitawaletea kitakachokuwa kinajili.
.

sarafina.the funeral song - YouTube

==============================
Picha za Makaburini
==============================

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php

sarafina.the funeral song - YouTube
 
Mahubiri ya Askofu Kisiri na tamko mhe. Freeman Mbowe siku ya mazishi ya Judith William Moshi aliyeuawa kwa bomu la risasi kwenye mkutano wa kufunga kampeni za udiwani kata nne yaani Elerai, Kimandolu, Themi na Kaloleni tarehe 15.06.2013 mkutano ulikuwa ukifanyika uwanja wa Soweto Arusha huku msemaji mkuu siku hiyo akiwa mhe. Freeman Mbowe na Godless Lema, kwa mujibu wa mashuhuda wanasema
"Nilikuwa nimesimama pembeni mwa gari la hotuba majira ya saa 12 kasorobo jioni siku ya tarehe 15 Juni 2013 nilimwona mtu aliyevaa helmeti ya polisi akishuka kwenye gari namba PT. 1179 na kurusha kitu kilicholipuka baadaye kukimbia na kuingia gari la kiraia lililokuwa mbele ya gari la polisi alilokuja nalo baadaye gari hilo kuondoka likisindikizwa na gari la polisi alilokuja nalo"
 
Last edited by a moderator:
Mahubiri ya Askofu Kisiri na tamko mhe. Freeman Mbowe siku ya mazishi ya Judith William Moshi aliyeuawa kwa bomu la risasi kwenye mkutano wa kufunga kampeni za udiwani kata nne yaani Elerai, Kimandolu, Themi na Kaloleni tarehe 15.06.2013 mkutano ulikuwa ukifanyika uwanja wa Soweto Arusha huku msemaji mkuu siku hiyo akiwa mhe. Freeman Mbowe na Godless Lema, kwa mujibu wa mashuhuda wanasema
"Nilikuwa nimesimama pembeni mwa gari la hotuba majira ya saa 12 kasorobo jioni siku ya tarehe 15 Juni 2013 nilimwona mtu aliyevaa helmeti ya polisi akishuka kwenye gari namba PT. 1179 na kurusha kitu kilicholipuka baadaye kukimbia na kuingia gari la kiraia lililokuwa mbele ya gari la polisi alilokuja nalo baadaye gari hilo kuondoka likisindikizwa na gari la polisi alilokuja nalo"
[video] Mahubiri na tamko la Mhe. Mbowe - YouTube[/video]

Kwaiyo???...
 
Back
Top Bottom