Ernesto Che
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,114
- 293
Shujaa mwengine katika mapambano ya uhuru wa Tanganyika... Judith RIP
Dr kwa heshima yako na tunu uliyonayo kwa Taifa hili,wala usingekuwa unajibu comments za watu kama BlackGold kwani hapo alipo hata dhamira yake inamsuta kwa yote anayoyasema,hakuna mtu alietayari kuua wananchi wake kisa kujulikana,na kama chadema ingekuwa haijulikani basi viongozi wa serikali wasingetumia nguvu kubwa kuidhibiti,nakuomba sana Dr ujiepushe na haya majibizano ya humu ndani,najua unamaumivu makubwa sana ila jikaze tu kimoyo moyo,ongozwa na maandiko zaidi kuliko hisia.
Binadamu hatufanani,kuna wengine wanajua yalipo maduka ya viungo vya binadamu,moyo,mikono,miguu,na hata vichwa ila sisi hatujui ndiyo maana tunayofanyiwa tunamwachia alietupa viungo hivyo bure"tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu"asante kwa ushirikiano wako
Kibanda ameshasema mwenyewe anaemuhisi sasa sijui unataka kubishana na ukweli? na Dr Ulimboka kupitia baba yake alishawaomba mumuache mwanawe
RIP Judith,
Hutasaulika daima. Makamanda wote mliopoteza maisha, mtakumbukwa daima. Mungu aiweke Roho ya Marehemu Judith na wenzake mahala pema peponi. Amen
watu ni wengi makaburini mahali mwili wa judith unapumzishwa, ibada inaendelea!
Kwa umati huu ulivyo sina....zaidi ya kusema "chadema is one product with the same standard"!
Chadema ni mpango wa mungu
CCM mna pesa na majeshi, CHADEMA tuna MUNGU na WATU...hamtatuua wapenda mabadiliko wote nchini...
Hizi Kauli zitapoteza maisha ya wengi wasio na hatia -- kutetea mikate ya viongozi au watu wengine. Tueleimike na tuwe na utashi nchi hii ilishapata uhuru na kila mtu ana uhuru wa kuendeleza maisha yake mwenyewe. Anyway kama ndio maisha CDM tumechagua na tutaendelea kuchimba makaburi kuotesha watu wasio hatia badala ya kuchimba mitaro ya kuelekeza maji machafu, barabara, kujenga nyumba bora na mipango mingine ya maendeleo.
Naomba kuwasilisha
Pumzika kwa Amani Judy,Amir na Ramadhan Amina.
why cant tell polisi wa chama cha mauaji(ccm) to stop killing innocent children of this country?