Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

ccm ipi hiyo mkuu
kifo cha mwangosi,kibanda,ulimboka,
Kibanda ameshasema mwenyewe anaemuhisi sasa sijui unataka kubishana na ukweli? na Dr Ulimboka kupitia baba yake alishawaomba mumuache mwanawe
 
CCM mna pesa na majeshi, CHADEMA tuna MUNGU na WATU...hamtatuua wapenda mabadiliko wote nchini...

Hizi Kauli zitapoteza maisha ya wengi wasio na hatia -- kutetea mikate ya viongozi au watu wengine. Tueleimike na tuwe na utashi nchi hii ilishapata uhuru na kila mtu ana uhuru wa kuendeleza maisha yake mwenyewe. Anyway kama ndio maisha CDM tumechagua na tutaendelea kuchimba makaburi kuotesha watu wasio hatia badala ya kuchimba mitaro ya kuelekeza maji machafu, barabara, kujenga nyumba bora na mipango mingine ya maendeleo.

Naomba kuwasilisha
 
mkuu unataka watu waache kuomboleza wakusome ok umeshindwa.RIP dada yangu judith damu yako iliyomwagika soweto ikawe chanzo cha mabadiliko
Kibanda ameshasema mwenyewe anaemuhisi sasa sijui unataka kubishana na ukweli? na Dr Ulimboka kupitia baba yake alishawaomba mumuache mwanawe
 
Kama kungekuwa na uwezekano , mikusanyiko yote ya CDM kuwekwe cctv cameras maana hata huko kwenye msiba hawatashindwa kutupa bomu hawa jamaa ili ionekane kuwa ndani ya CDM kuna kundi la kigaidi.
Hayo ni maoni yangu

washindwe kwajina la Yesu
 
CCM iliyopoteza dira ilishawapoteza watu kibao na hawaoni shida kuwatumia polisi pindi wakizidiwa hoja
 
simba hafi analala tu,wewe judy ni simba naamini ipo siku utaamka!!!!!!!!
 
CCM mna pesa na majeshi, CHADEMA tuna MUNGU na WATU...hamtatuua wapenda mabadiliko wote nchini...

Hizi Kauli zitapoteza maisha ya wengi wasio na hatia -- kutetea mikate ya viongozi au watu wengine. Tueleimike na tuwe na utashi nchi hii ilishapata uhuru na kila mtu ana uhuru wa kuendeleza maisha yake mwenyewe. Anyway kama ndio maisha CDM tumechagua na tutaendelea kuchimba makaburi kuotesha watu wasio hatia badala ya kuchimba mitaro ya kuelekeza maji machafu, barabara, kujenga nyumba bora na mipango mingine ya maendeleo.

Naomba kuwasilisha

kama unaenda mahakamani na unapata haki, elimu bora, maji safi.... unahaki ya kufungua masaburi yako...
 
Siku hizi wana msemo wao unaoitwa, ''mkusanyiko usio na kibali''

Ukiangalia ile issue ya kukusanyika SOWETO jamaa walivyojibu hoja utagundua akili zao zinahitaji msaada
Maana walisema watu wasiingie mkutanoni kwasababu AICC imekataza,
Lakini walipokuwa wanapiga mabomu walikuwa wanasema mkusanyiko ulikuwa sio halali

Sasa swali ni kwamba zile fujo polic walianzisha jana ilikuwa ni watu kuingia uwanjani au kukusanyika
Maana hawakusema kukusanyika ilikuwa ni issue, ila issue ilikuwa ni kuingia uwanjani na wananchi walitii hawakuingia na bado walipigwa.
Ni tatizo sana akili ndogo kutawala akili kubwa(mropokaji chagonjwa)
 
Naamini damu za watu zilizomwagwa kwa mtutu wa bunduki na mabomu Arusha na kwingineko kwa baraka za ccm zitareta mabadiliko makubwa ambayo hayajawahi tokea Tanzania. Just wait, time will TELL.
 
hakuna kiongozi Wa serikali aliefika kwenye msiba huu, mbowe anasema yuko tayari kutoa ushahidi wa video,picha na wa watu walioona moja kwa moja lakini siyo kwa watuhumiwa polisi
 
Hivi DR W Slaa amerudi nchini kuja kuwapa nguvu makamanda katika tukio kubwa kama hili?
 
poleni wote mlioguswa na msiba wa kamanda Mungu awatienguvu
 
Nimekula tena vyote


Hivi wewe ndiye yule Mamaaa Mingoi aliyekuwa anacheza muziki pamoja na marehemu Shenaz pale Joly Club kila Jumatano!!!?

Mara ya mwisho nilikuona kwenye muziki wa Bob Rudala!
 
Ni vigumu kuamini. RIP ndugu yetu Mtanzania mwenzetu, mama yetu, dada yetu shangazi yetu na mjukuu wetu. Pole kwa wana Chadema wote na wale wanaoililia haki, amani na usawa kwa Tz. yetu.
 
Back
Top Bottom