Mkuu iko vizuri...Weka hiyo link ya video vizuri, haifunguki
Kamwambie JK kuwa Tanzania ni yetu sote na hakuna mtanzania mumbavu tena kama huyo -------- anaetufanya watanzania wapumbuvu....Kwaiyo???...
Kamwambie JK kuwa Tanzania ni yetu sote na hakuna mtanzania mumbavu tena kama huyo -------- anaetufanya watanzania wapumbuvu....
Weka hiyo link ya video vizuri, haifunguki
Ndio mana tunasema chadema ni agents wa kanisa na kanisa ni agent wa chadema
Nyie hangaikeni tu, mnadhani Mbowe hazitaki milioni kumi za Lukuvi? Ngoma nzito ndiyo maana video ya chadema imebanwa wamegundua hailipi.
Ametengenezwa na machadema ili atoe ushuhuda feki
mtaachaje kujua kila kitu wakati mipango yote ilifanywa na mwigulu na mlongo tena sebuleni kwa mlongo na kikao kingine hotelini..
lete ushihuda wako.Ametengenezwa na machadema ili atoe ushuhuda feki