Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,650
- 6,088
pamoja mkuu..
Mimi ni mume wake vipi unataka kuja kuziba pengo lake?Hivi wewe ndiye yule Mamaaa Mingoi aliyekuwa anacheza muziki pamoja na marehemu Shenaz pale Joly Club kila Jumatano!!!?
Mara ya mwisho nilikuona kwenye muziki wa Bob Rudala!
tangulia judith, nasi tunafuata. Tuko kwenye mapambano dhidi ya udhalimu na hukumu ya kipigo na kifo juu yetu imetangazwa na waziri mkuu bungeni.
R.I.P Judy that who kills will also die, the only different will be time of death
Giving last respect to the senior fellow kamanda...mpiganaji Judith
Mwili wa Judith unapelekwa nyumba ya mileleView attachment 98715
Giving last respect to the senior fellow kamanda...mpiganaji Judith
Giving last respect to the senior fellow kamanda...mpiganaji Judith
RIP Judith,
Hutasaulika daima. Makamanda wote mliopoteza maisha, mtakumbukwa daima. Mungu aiweke Roho ya Marehemu Judith na wenzake mahala pema peponi. Amen
Marehemu Judith Nilisalimiana naye muda mfupi kabla mauti haijamkuta nikaenda kuchukua vocha,wakati nipo njian ndo bomu likalipuka. ccm wanakomaza nafsi zetu kdogo kdogo. RIP kamanda