Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,564
- 109,103
Hapa naona unazuguka tu na wala huna hoja, hit the point vunja mfupa kwa hoja na si porojo, rejea post zako kwanza ndio utajuwa msingi wa mimi kuclash hoja zako nyepesi, sasa badala ya kuzivunja hoja zangu kwa hoja wewe unaleta ngonjera!!ku argue na watoto wa kiume wa kizazi hiki ni tofauti na mwanaume wa kizazi cha nyuma mtu anawaza eti tigo,eti jf sio ya wachagga????who say so!!!!panua wigo wako wakufikiri mkuu Matola think outside the box na usione kila kitu ni ajabu kwako kama unamwona huyu ni waajabu basi wanaosafirisha mnyama mzima ,mikataba ya uongo kujineemisha ,wanafuja hela za kodi za wananchi kujineemisha , hawa basi kwako ni malaika walioshushwa akati mimi hapa nawaweka kwenye kundi moja na alex massawe,sambeke na wengine wengi
Msimamo wangu uko pale pale Jambazi hawezi kuwa role mode wangu, na ni heri nife maskini kuliko kuwa na utajili wenye damu za watu, cha kushangaza Moshi ndio kuna waumini wakubwa wa dini ya Kikristo, haya ni maajabu kabisa.