grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Una haki ya kuomba ulinzi Polisi.na mimi ni milionea nina shilingi milioni 2 benki...
Una haki ya kuomba ulinzi Polisi.na mimi ni milionea nina shilingi milioni 2 benki...
Maandiko yepi_quran ama biblia.....mmmmh?
Utapataje Cash unayomiliki bila biashara !?
Kumbe uislam una mafundisho mazuri kama haya,sasa hawa mashekhe ubwabwa kila kukicha wanahubiri ukristu na wanawake ndo wanawapotosha watu. Asante mkuu ujawe na hekima uendelee kuelimisha
hii ni hadith ya kwenye gahawa unateegemea upewe hela bila riba kopa wazazi wako.
Nitampataje? He got sexy eyes
kitu unachokiona kwako ni haram its just u wengine sio haramu usitake kujiaminisha kuwa kile unachokiamini ni sahihi sana,la sivyo hizi financial institution zisinge exist tena wala kuwepo kabisaaaaaaaasijadharau imani ya mtu wala sikuwaza hivyo neno riba sio specific kwa watu fulani tukuwa mstaarabu,acha kashfa mkuu na heshimu imani ya mwenzako.
safi sana watu wanafikiri wakiwa kwenye mabox out side nonikirithi kwa baba siwezi itwa hivyo?
Utaitwa milionea/bilionea mtoto.Nikirithi kwa baba siwezi itwa hivyo?
Baaadhi ya viongozi waliokuwepo ni LAZARO NYALANDU,CRYL CHAMI,JOSHUA NASSARI,LUCY OWENYA,GAUDENZI LYIMO,DC WA ARUSHA,MABRIGEDIA NA MAKANI WA JESHI,WAKUU WA TAASISI ZA KIFEDHA,WAKURUGENZI WA MAKAMPUNI MBALIMBALI NCHINI,MAJAJI WAKIONGOZWA NA AISHA NYERERE,MAWAKILI NA WANASHERIA MBALI MBALI NA WENGINE WENGI AMBAO WALIWAKILISHA SALAMU ZA RAMBIRAMBI MAGARI YA KIFAHARI ZAIDI 800 YALIHUSIKA NA MSIBA HUU PAMOJA NA NDEGE
cc: Matola hahahahahahaahahahaha hutaki unaacha huwezi jeuza direction ya upepo
Nitampataje? He got sexy eyes
.........Lakini Jamhuri ilienda kumzika Bi Kidude bint Baraka, ikiongozwa na mkuu wa kaya ! (Marais wawili na makamu watatu !) Pamoja kuwa alikuwa muimba Taarabu na alikuwa ni 'Elifunea' !!!
kuna mtu anaweza taja hapa huyu bwana amemuua nani ili kuwa billionea ?with all due respect to chagaz, kwa hiyo jeuza nivea umedhihirisha kwa nini unatetea utakatishwaji fedha haramu, tena zinazotokana na kutoa roho za watu.
Tutafute pesa kihalali tukikumbuka kuwa duniani tunapita na hatutaondoka nazo.
du ???????????? ndio mnachofata kwenye mazishi eeeeecha kusikitisha hata nyumba ya maana hana!! Walionesha gofu ambalo waliishi na mama yake (nafikiri ni la urithi).died poorly, very poor. Sijawahi kusikia if had a family of her own (husband and children). Nimejifunza mengi kupitia kifo chake.
Pia msiba huu umetumiwa vizuri na wakazi majirani na marehemu kwn walifungua baa za dharura na Sehemu za nyama choma tokea msiba huo utokee na wote wanasema wameukata kwani waliwekuuza nyama choma mpaka kilo 200 kwa siku na makreti yakutosha R.I.P BILIONEA SAMBEKE
Mkuu Nivea, siyo tunachofuata kwenye mazishi, ila kwa jinsi alivyofanya kazi za kisanii na kulitangaza taifa hili nilitegemea alipata kipato cha kujiweka sawa kimaisha. Kwani kazi za usanii hazilipi? Si walimtumia pia katika ile kampeni ya malari, hawakumlipa? Si alitumika sana kutangaza utalii wa tanzania kupitia muziki wa taarabu, hawakumlipa? Ndicho nilichouliza na si vinginevyo. Hope umenielewa.du ???????????? ndio mnachofata kwenye mazishi eeeee
basi tuseme alivutia sigara zoteMkuu Nivea, siyo tunachofuata kwenye mazishi, ila kwa jinsi alivyofanya kazi za kisanii na kulitangaza taifa hili nilitegemea alipata kipato cha kujiweka sawa kimaisha. Kwani kazi za usanii hazilipi? Si walimtumia pia katika ile kampeni ya malari, hawakumlipa? Si alitumika sana kutangaza utalii wa tanzania kupitia muziki wa taarabu, hawakumlipa? Ndicho nilichouliza na si vinginevyo. Hope umenielewa.
Haiwezekani hata kama alikuwa chain smoker!! Ni majibu kuwa usanii kama usipokuwa makini hujijengi kimaisha, kwa usanii wa kibongobongo!!! Si unajua hata maarufu kama kina marehemu Kanumba hawakuwa wamejenga pamoja na kuwa na hela kiasi, japo si za kuitwa milionea. Kuna mashetani yanakula hela nini huko!! Just curious to know!!! Usinituage jiwe Nivea.basi tuseme alivutia sigara zote