Chinchiler
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 499
- 558
Geita hiyo mvua misimu miwili kwa mwaka so tunalima mara mbili kwa mwaka karibuni sana
Serikali itawapa vibali wafanyabiashara wataingiza vyakula toka njeHawa wananchi wakiishiwa chakula waanze tena kuililia serikali kiwaletea chakula sio!!!!!!????????
Hawa wananchi wakiishiwa chakula waanze tena kuililia serikali kiwaletea chakula sio!!!!!!????????
Hio mbolea iliwafikia wakulima wote,mbolea zimeharibu ardhi yetuWakati serikali inawapa mbolea ya ruzuku mbona hamkulalamika, sasa mnapangiwa bei mnaanza kubwata