ram
Platinum Member
- Oct 5, 2007
- 9,345
- 8,565
Hatua moja zaidi, big up Maxence Melo
Wasije waka m KASHOGI eeeh?! maana wana roho wazijuazo wenyewe.Mkamuue Ikulu😏!
Toa hela uletewe acha kutamani wa meloNamuona Mbuzi katika huu uzi nikifungua simpati
View attachment 1265541
View attachment 1265543
Taarifa zinaonyesha kwamba amekutana na Mkurugenzi wa IMF Kristalina Giorgieva , ambapo mazungumzo yao yalijikita katika kuwasaidia vijana wa Kitanzania ili kuangalia uwezekano wa kuboresha mazingira ya kufanya biashara .
Kwa niaba ya Wafanyabiashara vijana wa kimataifa naipongeza sana hatua hii ya Melo kutumia fursa hii adimu kutuombea msaada sisi vijana wa Kitanzania .
Mungu ibariki JF
Fanya utafiti tena. Kuna sehemu umeteleza.Magufuli kabla ya kumsaidia atamuomba atoe siri za watu wenye id hapa JF. Au msukuma mwenzako unamuonaje?
HahaaaaHongeraa sana mkuu.. Usiingize tu JF kwenye madeni kama serikali ya Kenya
Ipo mingi sana. Ukisikia charity shops ni mitumba kwa wingi.Hivi marekani kuna mitumba?
View attachment 1265541
View attachment 1265543
Taarifa zinaonyesha kwamba amekutana na Mkurugenzi wa IMF Kristalina Giorgieva , ambapo mazungumzo yao yalijikita katika kuwasaidia vijana wa Kitanzania ili kuangalia uwezekano wa kuboresha mazingira ya kufanya biashara .
Kwa niaba ya Wafanyabiashara vijana wa kimataifa naipongeza sana hatua hii ya Melo kutumia fursa hii adimu kutuombea msaada sisi vijana wa Kitanzania .
Mungu ibariki JF
MECCO na BASHITE lazma waumie roho sanaa,.View attachment 1265541
View attachment 1265543
Taarifa zinaonyesha kwamba amekutana na Mkurugenzi wa IMF Kristalina Giorgieva , ambapo mazungumzo yao yalijikita katika kuwasaidia vijana wa Kitanzania ili kuangalia uwezekano wa kuboresha mazingira ya kufanya biashara .
Kwa niaba ya Wafanyabiashara vijana wa kimataifa naipongeza sana hatua hii ya Melo kutumia fursa hii adimu kutuombea msaada sisi vijana wa Kitanzania .
Mungu ibariki JF
Toa hela uletewe acha kutamani wa melo
Aiseee; amefikaje huko? Ni JF au kuna chombo kingine?
Heko na Hongera nyingi. Natumaini ombi litafanikiwa.
Lakini ngoja nikutupie dongo laini.
Hiyo picha ya kwanza umejinyenyekesha sana mkuu! Au ni kabla ya kuwasilisha mahitaji kwa mkubwa?