Maxence Melo atinga ofisi za IMF Washington DC

Maxence Melo atinga ofisi za IMF Washington DC

Sasa badala ya kukutana na JPM anakwenda kumwambia Director wa IMF?Max ulitakiwa ukamwambie Magufuli bwana,au unamwogopa ? Huyu Kristina hatosaidia lolote. Mwenye rungu la kuboresha mazingira ya wafanya biashara hapa Tanzania ni JPM.
Wewe amekuboreshea au unabwabwaja tu
 
Tulifanya namna kilingeni.. Japo nzi wa rangi fulani walitusumbua sana kutukwamisha
Nimetumia sehemu ya ubongo ninayoitumia mara chache na katika maswala magumu kukupata mkuu 'Mshana'. Ahsante kwa taarifa.
 
Mzungu hataki mwafrika ajikombea kifikra,kiuchumi na Kwakila stairi anayoweza kubadili mfumo wa maisha yake..mzungu hana mahaba na mwafrika...usijekujidanganya hata siku moja IMF itakuletea haueni ya maisha ndugu yangu, msiwe wajinga na wavivu was kufikiri...wake up and live
 
View attachment 1265541
View attachment 1265543

Taarifa zinaonyesha kwamba amekutana na Mkurugenzi wa IMF Kristalina Giorgieva , ambapo mazungumzo yao yalijikita katika kuwasaidia vijana wa Kitanzania ili kuangalia uwezekano wa kuboresha mazingira ya kufanya biashara .

Kwa niaba ya Wafanyabiashara vijana wa kimataifa naipongeza sana hatua hii ya Melo kutumia fursa hii adimu kutuombea msaada sisi vijana wa Kitanzania .

Mungu ibariki JF
Mkuu anafika sehemu nyeti hivi, bado jiwe na serikali yake anamtomasa tomasa tu?

Ningekuwa mimi Jiwe angelia poo! Na shikamoo juu! , nakwambia.

Hapo sas jiwe nasema ni yeye kamuwezesha kusafiri subirini!
 
Tukiwa na vijana 100 wenye uthubutu kama Max hakika dunia inaweza ikasimama na kuwasikiliza vijana,hongera sana Max wewe ni tumaini la vijana wa leo
 
Back
Top Bottom