Maxence Melo alivyo-shine ndani ya Miss Universe!

Maxence Melo alivyo-shine ndani ya Miss Universe!

Status
Not open for further replies.


Mkuu Max suti kali ngoja nawasuri kina Nyani sijui atasema nini tena.Mkuu huyo binti wa kwanza kushoto mwenye wigi na kigauni cha mtoto naye miss ? mbona hana mvuto kabisa hata beki tatu wangu kamzidi.

Dah! mkuu mtake razi max, huyo ndio mchumba wa Max aliamua kuenda nae kwavile yeye ni selebriti mwalikwa akaamua kwenda na mchumba wake (hii ni kama vile Obama akialikwa anaamua kwenda na Michelle)
 
Wazeiya, hivi Max nyi mnamuonaje? Mi naona jamaa kala chumvi kiasi....cheki uso wake. Kajamaa kama kadingi flani hivi....teh teh teh
 
Mademu na mawig! wataacha lini ulimbukeni huu?

zamani zikiitwa nywele za maiti..

mkuu pengine kuziita mawigi kumezipa chati ndo mana wanachangamkia, kama tungeziita kama wazee walivyofanya zamani labda wasingezichangamkia.

yote kwa yote hii ni katika sababu mtu mweusi hatoacha kutawaliwa na mweupe muda wa kuwa anaona kipilipili ni laana na manywele marefu ni baraka...mtazame Oprah, na waswahili wengi tu wa nyota tano....ppppuuuuu:biggrin1:
 
max.jpg


Mwanzilishi wa Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Melo (kulia) na Mmoja wa wasaidizi wake, Bahati Chande wakiwa pamoja na top 3 ya Miss Universe usiku huu. JamiiForums walikuwa wadhamini katika mashindano haya

JF-banner.jpg

Banner nyingine ya JF siku ya tukio

Kumbe hcho ndo kichwa cha jf!dah yupo juu congrats bro
 
Jamaa kweli ni Injinia, umeliona pozi lake. Afu nahisi hapo alikuwa anamwaza Malaria Sugu, isije akapost madudu.
 
Wazeiya, hivi Max nyi mnamuonaje? Mi naona jamaa kala chumvi kiasi....cheki uso wake. Kajamaa kama kadingi flani hivi....teh teh teh

duh! wewe sio mtanzania nini,? nimekuqoute ili mods wakidelete hii post yako max aje aione huku
 


Mwanzilishi wa Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Melo (kulia) na Mmoja wa wasaidizi wake, Bahati Chande wakiwa pamoja na top 3 ya Miss Universe usiku huu. JamiiForums walikuwa wadhamini katika mashindano haya




As time goes by nazidi kufurahi na kushukuru am part of the Team. Bravo Maxence Melo...
 
Wazeiya, hivi Max nyi mnamuonaje? Mi naona jamaa kala chumvi kiasi....cheki uso wake. Kajamaa kama kadingi flani hivi....teh teh teh
U must be Joking we bwana...Nyani.....He is old enough no make few mistake in his future life....JF is going Higher.....
 
Bahati Chande u didnt call me back that day beauty tulipoachana ukumbini..........
 
max.jpg


Mwanzilishi wa Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Melo (kulia) na Mmoja wa wasaidizi wake, Bahati Chande wakiwa pamoja na top 3 ya Miss Universe usiku huu. JamiiForums walikuwa wadhamini katika mashindano haya

JF-banner.jpg

Banner nyingine ya JF siku ya tukio
mkuu max, huyu bahati naweza pata namba zake?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom