Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Wela wela. Udaku umepungua mitaani
star tv hawajalipa kodi...nahisi wamezuga kuwafungia hao wengine ili kupata justification ya kulifungia mawio..Na Star tv mbona huongelei?
sio mbaya.. hili gazeti ni mipasho na kuzungusha maneno yaani linaboa. wanajidai ni upelelezi lakini zaidi ni uzushi wenye nia mbaya. jamaa yangu mchadema anajua mimi ni critique anataka kila akinunua nisome. hamna upelelezi mle ni half truths na urongo wenye lengo baya. huta mwanahalisi ni umbea zaidi kuliko kweli.Gazeti la habari za kiuchunguzi la Mawio limefungiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini kwa kinachodaiwa "kukiuka" maadili ya uandishi wa habari.
============
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imetangaza kulifungia gazeti la Mawio linalochapishwa na kampuni ya Victoria Media Services Ltd kutokana na kukiuka maadili ya Uandishi wa Habari.
Katika taarifa rasmi iliyotolewa tarehe 15, January, 2016, imeeleza kuwa gazeti husika halitoruhusiwa kuchapisha nakala zake kokote, iwe ni nakala ngumu (hard copy) au mtandaoni (electronic).
![]()
wamechelewa sana lilipaswa liwe limefingiwa kuanzia mwaka jana mwezi 7Gazeti la habari za kiuchunguzi la Mawio limefungiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini kwa kinachodaiwa "kukiuka" maadili ya uandishi wa habari.
============
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imetangaza kulifungia gazeti la Mawio linalochapishwa na kampuni ya Victoria Media Services Ltd kutokana na kukiuka maadili ya Uandishi wa Habari.
Katika taarifa rasmi iliyotolewa tarehe 15, January, 2016, imeeleza kuwa gazeti husika halitoruhusiwa kuchapisha nakala zake kokote, iwe ni nakala ngumu (hard copy) au mtandaoni (electronic).
![]()
Gazeti la habari za kiuchunguzi la Mawio limefungiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini kwa kinachodaiwa "kukiuka" maadili ya uandishi wa habari.
============
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imetangaza kulifungia gazeti la Mawio linalochapishwa na kampuni ya Victoria Media Services Ltd kutokana na kukiuka maadili ya Uandishi wa Habari.
Katika taarifa rasmi iliyotolewa tarehe 15, January, 2016, imeeleza kuwa gazeti husika halitoruhusiwa kuchapisha nakala zake kokote, iwe ni nakala ngumu (hard copy) au mtandaoni (electronic).
![]()
Waongo au wanasema ukweli duniani ikiwa mkweli hukubaliki has a nchi za kiafiritiBora aisee tupumue maana hao jamaa ni waongooo
Ukweli utajuilikana mahakamaniWananchi tuna haki ya kuishitaki Serikali kwa kosa la KUCHELEWA kufungia kipeperushi hiki kilichokithiri kwa uongo na uchochezi. Kiliaminisha Nyumbu wote eti Taarifa za ndani zinasema Maandalizi yote ya kumtangaza Maalim Seif Mshindi wa Uchaguzi 2015 yamekamilika na atatangazwa kabla ya sherehe za Mapinduzi i.e January 12!!!
Kilijaribu kumchonganisha Mh. Rais Magufuli na Mh. January.
Huyu Kubenea kupitia Kipeperushi cha Mwanahalisi aliwahi kuandika Lowassa na Rostam Azizi wanamtumia Ridhwan Kikwete kumpindua Baba yake ( Mh. Kikwete).
Kweli wewe gambaukiwa ccm zaid ya uwendawazimSafi sana, tena Wasilifungue kabisa kwa sababu linadhalilisha watu kinyume na maadili ya uandishi wa habari
Tatizo LA gazeti LA Mawiyo halimsifu baba BombeHicho unachokiita uchochezi hakiwezi kunyamanzishwa kwa kufungia Gazeti.Labda ungewafunga waandishi wake ambao wamebobea katika habari za kiuchunguzi.
Yapo magazeti mengi yaliyosajiliwa ambayo hayapo sokoni kwa sababu yameshindwa kukidhi mahitaji ya soko.Kwa namna ileile iliyotumiwa na waandishi wa Mwanahalisi kwa kununua haki za Mawio na kuanza kulichapisha na kukamata soko la habari nchini,ndivyo hivyo hivyo Tutatumia Gazeti lingine ambalo limesajiliwa lakini halipo sokoni,tutanunua haki zake na tutarudi sokoni tena kwa kishindo zaidi.
Iko wapi serikali inayojinasibu kupambana na majipu? Kama kweli mnapambana na majipu,mbona mnaizima nuru pekee iliyokuwa inawasaidia kumulika hayo majipu?
Ngoja niishauri serikali,njia pekee ya kuwanyamanzisha waandishi wachokonozi ni Kifo.Ni bora iwapige kitanzi wafe,lakini kwa kulifungia Gazeti lao wakadhani wamewanyamanzisha ni kujidanganya.Imeandikwa:"Ukimzuia mtetezi wa wanyonge kupaza sauti za utetezi hata mawe yatapaza sauti"-Kulifungia mawio si mwisho wa makala za kiuchunguzi,waandishi walewale wabobezi watarejea ndani ya muda mfupi kupitia Gazeti jingine nasi wasomaji tupo tayari kulinunua hata kwa sh.2000/ili tuendelee kuisoma serikali na sarakasi zake za kubaka demokrasia.
Kubenea atatulia tu
Nalenyewe punde litafuatwa
Uhuru ulizidi kipimo
Fidia gani wewe kunarufaa!Nyie kwasababu hamuumii na shida za watanzania tuambien ilefidia ya mwanahalisi analipa nan ???