mndorwe
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 2,472
- 1,027
Mwanahalisi walishinda kesi kwasababu hiz sheria za ccm zinakinzana na katiba ya nchi so ,serekali itashindwa kesi tenaThis time ndo imetoka hiyo,kumbuka wakati ule hii sheria ya habari nas makosa ya mtandaoni ihaikuwepo.Jaribu na wewe uchemke upigwe pin halafu ukalie mahakamani kama utachomoka.