Mawio newspaper permanently banned with effect from January 15th, 2016

Mawio newspaper permanently banned with effect from January 15th, 2016

Hii
Gazeti la habari za kiuchunguzi la Mawio limefungiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini kwa kinachodaiwa "kukiuka" maadili ya uandishi wa habari.

============

Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imetangaza kulifungia gazeti la Mawio linalochapishwa na kampuni ya Victoria Media Services Ltd kutokana na kukiuka maadili ya Uandishi wa Habari.

Katika taarifa rasmi iliyotolewa tarehe 15, January, 2016, imeeleza kuwa gazeti husika halitoruhusiwa kuchapisha nakala zake kokote, iwe ni nakala ngumu (hard copy) au mtandaoni (electronic).


12509428_1161014297243801_8017580642002073648_n.jpg
Kufungiwa kwa MAWIO ni vita kati ya Serikali ya CCM na UKAWA(Gazeti linamilikiwa na Saed Kubenea Mbunge wa UKAWA kupitia CHADEMA!
 
Wanahangaika bure tukienda mahakamani tunashinda kesi kama ilivyokuwa kwa gazeti mwanahalisi
 
Yaan ni uzembe mwingine juz serekali imeshindwa kesi mahakaman na gazeti la mwanahalisi ,serekali inadaiwa mamililio leo tena mawio limefungwa badae utashangaa tena serekali imeshindwa kesi wanadaiwa mamilion....Nape tuonee huruma na kod zetu

Serikali haijalipa fidia yoyote na wala haitalipa kwa mwanahalisi na mawio kwani yamevunja sheria. Kama ni kesi mwisho ni mahakama kuu ya majaji watano. Tumechoka na waandishi wahuni.
 
Yaan ni uzembe mwingine juz serekali imeshindwa kesi mahakaman na gazeti la mwanahalisi ,serekali inadaiwa mamililio leo tena mawio limefungwa badae utashangaa tena serekali imeshindwa kesi wanadaiwa mamilion....Nape tuonee huruma na kod zetu
Sio kwa mawio
 
Nape amekurupuka kulifuta mawio itakuwa kashauriwa na gelofurendi wake...Hajataja 7bu ya kufuta,hearing haikufanyika yeye amefuta tu.
 
Habari kwenu wakuu

Lile gazeti chochezi la saed kubenea , mzee wa elimu ya hapa na pale aliyesoma vyuo vya hapa na pale lafungiwa rasmi Jana 15/01/2015
Ushahidi huu hapa
Kila siku zitto,zitto
Hana la maana mtu hamjibu lakini ndio kwaanza kashupalia
 
Back
Top Bottom