Hakika kama haki ni yao wataipata tu, ni mambo tu ya muda haya.Siasa.tutasoma mwanahalisi
Hakika kama haki ni yao wataipata tu, ni mambo tu ya muda haya.Siasa.tutasoma mwanahalisi
Ni kweli, lakini naona kuna kipengele fulani kilibadilishwa ndo wanapovibania hapo vyombo vya habari. Mimi huwa siungi mkono kufungiwa kwa vyombo vya habari na pia siungi mkono habari za upotoshwaji kwa jamii.Nimesoma ila sioni mantiki tusibir wanasheria wanasemaje ,ila ukumbuke hii inakinzana na katiba ya nchi ya mwaka 1977.
Duuh poor nape[/QUOT
We ngoja ukute wamechemka kama ilivyokuwa kwa Kubenea alafu waanze kuingizia Serikali hasara ya mabilioni mengine ya shilingi. Still wating for a next episod.
Habari ipi ilikuw ya upotoshaji? kumbuka mahakama itaitisha ushahid...... hivi kati y sheria na katiba kipi ni zaid ya mwenzake ??Ni kweli, lakini naona kuna kipengele fulani kilibadilishwa ndo wanapovibania hapo vyombo vya habari. Mimi huwa siungi mkono kufungiwa kwa vyombo vya habari na pia siungi mkono habari za upotoshwaji kwa jamii.
Duuh poor nape[/QUOT
We ngoja ukute wamechemka kama ilivyokuwa kwa Kubenea alafu waanze kuingizia Serikali hasara ya mabilioni mengine ya shilingi. Still wating for a next episod.
Duuh poor nape[/QUOT
We ngoja ukute wamechemka kama ilivyokuwa kwa Kubenea alafu waanze kuingizia Serikali hasara ya mabilioni mengine ya shilingi. Still wating for a next episod.
Safi sana Hakika haki imetendeka!
Ni vyema, bado mwanahalisi
Mbona hamsemi kuhusu magazeti na redio za fisiem zilizofungiwa kwa kukwepa kodi .mlidhani ule wimbo mlikuwa mnawaimbia ukawa sasa mtaisoma namba wenyeww. Mwanahalis ipo tutaendelea kuisoma mkiifungia nayo basi tunaanzisha lingine