Na tunamuomba aishauri serikali iyape ruzuku magazeti " makini' kama Uhuru, Mzalendo na Tazama ili yaendelee kutupatia habari za " kizalendo" na "ukweli".Nampongeza kwa dhati Waziri NAPE NNAUYE kwa kupambana na uandishi usio na adabu wala Uzalendo kwa Nchi na Viongozi wake. Kwa muda mrefu sana baadhi ya Magazeti yamekuwa yakiandika habari za kipuuzi bila kuzingatia weledi na taaluma ya uandishi wa Habari. Mkakati wa magazeti mengi sasa ni kuuza tu bila kujali athari ya habari hizo kwa Jamii. HAKUNA UHURU USIO NA MIPAKA.
Ni wapuuzi tu wanaweza kushabikia uandishi wa ovyo wa baadhi ya magazeti!!!!Wewe na huyu waziri unayemsifia wote sawa tu.
NANI AMLIPE??? PESA HAZITOLEWI KIMAGUMASHI TUKubenenea ashalipwa mabilioni yake kwa hasara aliyoipata kufungiwa mwanahalisi?