MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,576
- 29,986
Wanapungua sana awamu hiiWela wela. Udaku umepungua mitaani
Wanapungua sana awamu hiiWela wela. Udaku umepungua mitaani
Zitto hakucheza huo mchezo na kichaa kama Kubeneazitto kashindwa kupambana na nondo za uhakika za kubenea hadi kaenda kumpigia magoti vuvuzela alifungie mawio...kubenea 3 zitto 0
tunahamia mwanahalisi tukisubiri mabilioni ya fidia kwa mawio
Sheria ya magazeti (1976) ni moja ya sheria za kipuuzi sana za Jamhuri hii tukufu. Ni moja ya sheria zilizo katika orodha ya kufutwa, katika ile ripoti ya tume ya Jaji Francis Nyalali (RIP).Huu ni uhuni ,ndo maana hata wamereka wemetunyima fedha za mcc.....ila gazet limefungwa kwa kutumia sheria ya magazet
Ktk hili nampongeza Nape, Bure tupumue na habari za Kichochezi.
hiyo sio serikali ya mkwere usijitoe ufaham na wewNinyi nyote mnaoshangilia gazeti la mawio kufungiwa, mje mshangilie tena siku wakishinda kesi mahakamani. Tatizo la serikali yetu imejaa wakurupukaji !
Tatizo Kubenea ni mwongomwongo sana. Alituaminisha miaka minane kuwa Lowasa ni fisadi,juzi kasema sio kweli bali alituongopea!MOTO CHINI mnaitaka Tanzania ya namna gani ?!. Makosa ya watawala yasiguswe ?! Kama issue ni Zanzibar si ni kweli mmebaka democrasi kwa kisingizio cha usultani wakati mnachofanya ni USULTANI.
Furaha yenu ni kuwa na WaTz waliolala. MAWIO, MWANA HALISI etc wakiwaamsha hamuelewi. Mna siasa za uke wenza
Serikali ya ccm ni ilele tu haijalishi anaongoza nani ! Mkangala Fenela hakuwa na hana tofauti na Nape kwa kukurupuka. Kinachoniuma mimi ni kodi zetu tu, nape wala wewe shabiki wake hamtakuwa hasara.hiyo sio serikali ya mkwere usijitoe ufaham na wew
Mnaishi kwa hisia hisia tu chadema.star tv hawajalipa kodi...nahisi wamezuga kuwafungia hao wengine ili kupata justification ya kulifungia mawio..