Kifimbo1958
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 821
- 343
Baro vipi mwenzetu
kwenye umea mmepigwa nyaka nyaka nazani mnawaza ilikuaje, then sasa maleta nahizi za kusadikika tena. haya bana endeleeni mkidhani Kubeenea hajui analofanya. Time will tellNasubiri mwanahalisi, watanyoooka tuu
Habari kwenu wakuu
Lile gazeti chochezi la saed kubenea , mzee wa elimu ya hapa na pale aliyesoma vyuo vya hapa na pale lafungiwa rasmi Jana 15/01/2015
Ushahidi huu hapa
Sijasema kuna habari ambayo ninaushahidi nayo kuwa walipotosha, kwanza mi si msomaji mzuri wa magazeti ya hapa nchini nacheza sana na yale ya kwa wenzetu. Katiba ndio kila kitu Mkuu.Habari ipi ilikuw ya upotoshaji? kumbuka mahakama itaitisha ushahid...... hivi kati y sheria na katiba kipi ni zaid ya mwenzake ??
Kumbuka tumenyimwa fedha za mcc pia kwasababu kwa sheria mbovu za makosa ya mitandao..Sijasema kuna habari ambayo ninaushahidi nayo kuwa walipotosha, kwanza mi si msomaji mzuri wa magazeti ya hapa nchini nacheza sana na yale ya kwa wenzetu. Katiba ndio kila kitu Mkuu.
Sababu ni kukiuka madili ya uandishikabla sijatoa maoni yangu juu ya kufungiwa kwa gazeti hilo la MAWIO.Ningependa kufahamishwa sabanu zilizopelekewa kufungiwa kwa gazeti hilo, hiyo itasaidia wananchi tuweze kuzijadili kama ni sababu za msingi au ni uwonevu.
Mkuu sheria za nchi nyingi za Afrika pamoja na Tanzania sijawahi kuzielewa, huwa zinaanzishwa kwa ajili ya maslahi ya kikundi au watu fulani. Kifupi hakuna Freedom of Press in Africa. Bado Afrika inahitaji mapinduzi ya fikra kwanza.Kumbuka tumenyimwa fedha za mcc pia kwasababu kwa sheria mbovu za makosa ya mitandao..
Nashangaa sana ,na mbona kuna magazeti mfano Tazama ,uhuru na mkakati kazi yao kuandika uzushi kuhusu wapinzani.lakini hayaguswi....?? star tv kipindi cha kampen ilikuwa ina mdhalilisha mgombea wa ukawa lakini hawakushughulikiwa ,ila mawio kuweka picha ya makonda akimfunga viatu Riz1 imekuwa nongwa nimeamin no freedm of speech in Tanzania japo tuliridhia mikataba ya UNMkuu sheria za nchi nyingi za Afrika pamoja na Tanzania sijawahi kuzielewa, huwa zinaanzishwa kwa ajili ya maslahi ya kikundi au watu fulani. Kifupi hakuna Freedom of Press in Africa. Bado Afrika inahitaji mapinduzi ya fikra kwanza.
Nashangaa sana ,na mbona kuna magazeti mfano Tazama ,uhuru na mkakati kazi yao kuandika uzushi kuhusu wapinzani.lakini hayaguswi....?? star tv kipindi cha kampen ilikuwa ina mdhalilisha mgombea wa ukawa lakini hawakushughulikiwa ,ila mawio kuweka picha ya makonda akimfunga viatu Riz1 imekuwa nongwa nimeamin no freedm of speech in Tanzania japo tuliridhia mikataba ya UN
Kweli mkuu nakubaliana na wewe,maana huwezi kumuadhibu mtu bila kumfahamisha unamuadhibu kwa makosa gani,vinginevyo atarudia hayo hayo,.Na lengo na adhabu ni kumfanya mtu asirudie makosa tena.Mkuu sheria za nchi nyingi za Afrika pamoja na Tanzania sijawahi kuzielewa, huwa zinaanzishwa kwa ajili ya maslahi ya kikundi au watu fulani. Kifupi hakuna Freedom of Press in Africa. Bado Afrika inahitaji mapinduzi ya fikra kwanza.
Na hakuna nchi yenye maendeleo ya kwel kama demokrasia ianabakwa Nape amekuwa kikwazo cha maendeleo yetu na historia itamhukumuKuna vitu katika nchi hii vinatia hasira we acha tu, ndo maana wengine tunaamua kutumia muda mchache hapa na muda mwingi tunajaribu kutafuta maisha sehemu nyingine. Ila kaa ukiamini itakuja siku haya yote yataisha tu, inaweza isiwe leo au kesho, lakini lazima mabadiliko ya kweli yataikumba Tanzania siku moja.
Naipongeza serikali kwa kulifungia hili gazeti la uchochezi!!!
Safi sana kama watafungia mengine wabakize uhuru mm wala sitasoma magazeti tenaHicho unachokiita uchochezi hakiwezi kunyamanzishwa kwa kufungia Gazeti.Labda ungewafunga waandishi wake ambao wamebobea katika habari za kiuchunguzi.
Yapo magazeti mengi yaliyosajiliwa ambayo hayapo sokoni kwa sababu yameshindwa kukidhi mahitaji ya soko.Kwa namna ileile iliyotumiwa na waandishi wa Mwanahalisi kwa kununua haki za Mawio na kuanza kulichapisha na kukamata soko la habari nchini,ndivyo hivyo hivyo Tutatumia Gazeti lingine ambalo limesajiliwa lakini halipo sokoni,tutanunua haki zake na tutarudi sokoni tena kwa kishindo zaidi.
Iko wapi serikali inayojinasibu kupambana na majipu? Kama kweli mnapambana na majipu,mbona mnaizima nuru pekee iliyokuwa inawasaidia kumulika hayo majipu?
Ngoja niishauri serikali,njia pekee ya kuwanyamanzisha waandishi wachokonozi ni Kifo.Ni bora iwapige kitanzi wafe,lakini kwa kulifungia Gazeti lao wakadhani wamewanyamanzisha ni kujidanganya.Imeandikwa:"Ukimzuia mtetezi wa wanyonge kupaza sauti za utetezi hata mawe yatapaza sauti"-Kulifungia mawio si mwisho wa makala za kiuchunguzi,waandishi walewale wabobezi watarejea ndani ya muda mfupi kupitia Gazeti jingine nasi wasomaji tupo tayari kulinunua hata kwa sh.2000/ili tuendelee kuisoma serikali na sarakasi zake za kubaka demokrasia.