Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,183
nashangaa magufuli kateua hadi machizi kuwa mawaziri.
Journalism yetu ni sekta ambayo haijapitiwa pembeni na uozo uliojaa kwenye sekta nyinginezo. Full ukanjanja, unatoa picha unasema kwenye picha anayeonekana ni fulani kumbe si kweli. Badala ya kujenga hoja kwa kuweka msisitizo kwenye powers of ideas waandishi wetu wanahangaika kuwaandika watu na maisha yao ya kila siku. Uandishi wa habari ambao ni wa kiwango duni unachangia katika kujenga tabia ya watanzania kuwaongelea watu badala ya uwezo wao kikazi na kitaaluma. Tunapenda sana udaku kwa sababu media inatujaza akili za kupenda udaku, jamii yetu inakuwa ya kimbeambea kwa sababu media inatufundisha umbea badala ya kutujenga tukawa na tabia za kujadili hoja nzito.
Kaka nashukuru sana kwa kuyakubali maandishi yangu, umeifanya Jumapili yangu iwe nzuri kuanzia asubuhi. Kikopi hicho nilichokiandika na kitumie, kwani ukikitumia mimi na wewe tunakuwa tunajenga Tanzania iliyo bora zaidi. Gentamycine tupo pamoja, nakutakia Jumapili njema na wiki ijayo iliyo njema pia.Mkuu KWA HESHIMA NA TAADHIMA KABISA NAOMBA RUHUSA YAKO HAYA MAANDIKO YAKO NIWE NAYO KTK KUMBUKUMBU ZANGU WA MAWAZO YA WATU WENYE AKILI KUBWA, NYINGI NA ZILIZOTUKUKA. Na Pia Naomba RUHUSA Yako Niwe Nayatumia HUKO NINAPOKUWA Kama Reference Ya UOZO WA JOURNALISM Nchini Tanzania Na Nitakuwa Nina Acknowledge Hilo Jina Lako Hapo Japo Sijui Kama Ndilo La Kweli au Ni La JF Tu Pekee. ULICHOKIANDIKA HAPA KWANGU KINA THAMANI NA MAANA KUBWA MNO NA HAKIKA MKUU WEWE KICHWANI UPO VIZURI HADI NAKOSA KUKUELEZEA KWANI LEO KWA ANDIKO LAKO HILI UMENIKUNA HADI NIKAKUNIKA. Pongezi Sana Kwa WALIOKUZAA, KUKULEA Na WALIMU WAKO WOTE WALIOKUFUNZA KWANI UPO VIZURI. Laiti Siku Zote JF INGEKUWA NA WATU WA AINA YAKO WALA NISINGEKUWA NAPATA TAABU KUGOMBANA NA MIJITU HUMU AMBAYO BAADHI YAO IMEJAA UPOPOMA TUPU. Nasubiri Ruhusa Yako Mkuu Ili Niweze KUKIKOPI HIKI ULICHOKIANDIKA KWA FAIDA YANGU YA BAADAE KAMA MWANA TAALUMA Na Nitashukuru Sana. Umeifanya JUMAPILI Yangu Ya Leo Iwe Tamu, Nzuri Na Murua Kabisa Akhsante.
Hahahahaha..mkuu umetisha sana!!!hawajafanya kitu...hapo litabadilishwa jina na kuitwa machweo...mambo mdundo kama kawaida
Kaka nashukuru sana kwa kuyakubali maandishi yangu, umeifanya Jumapili yangu iwe nzuri kuanzia asubuhi. Kikopi hicho nilichokiandika na kitumie, kwani ukikitumia mimi na wewe tunakuwa tunajenga Tanzania iliyo bora zaidi. Gentamycine tupo pamoja, nakutakia Jumapili njema na wiki ijayo iliyo njema pia.
Gazeti la habari za kiuchunguzi la Mawio limefungiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini kwa kinachodaiwa "kukiuka" maadili ya uandishi wa habari.
============
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imetangaza kulifungia gazeti la Mawio linalochapishwa na kampuni ya Victoria Media Services Ltd kutokana na kukiuka maadili ya Uandishi wa Habari.
Katika taarifa rasmi iliyotolewa tarehe 15, January, 2016, imeeleza kuwa gazeti husika halitoruhusiwa kuchapisha nakala zake kokote, iwe ni nakala ngumu (hard copy) au mtandaoni (electronic).
![]()
Gazeti la habari za kiuchunguzi la Mawio limefungiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini kwa kinachodaiwa "kukiuka" maadili ya uandishi wa habari.
============
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imetangaza kulifungia gazeti la Mawio linalochapishwa na kampuni ya Victoria Media Services Ltd kutokana na kukiuka maadili ya Uandishi wa Habari.
Katika taarifa rasmi iliyotolewa tarehe 15, January, 2016, imeeleza kuwa gazeti husika halitoruhusiwa kuchapisha nakala zake kokote, iwe ni nakala ngumu (hard copy) au mtandaoni (electronic).
![]()
Hebu thibitisha hiliYaan ni uzembe mwingine juz serekali imeshindwa kesi mahakaman na gazeti la mwanahalisi ,serekali inadaiwa mamililio leo tena mawio limefungwa badae utashangaa tena serekali imeshindwa kesi wanadaiwa mamilion....Nape tuonee huruma na kod zetu
ANTI - CCMSababu za kufungiwa?
Ndgu yang uko nchi gani, na nimafurko gani ambayo hayaishi? Mbna hapa tz yalishawahi kuzuiliwa kwa toilet papernape ameanza vibaya sana kwenye ngazi ya uwaziri,lkn tulijua huyu kwa tabia zake lazima atalifungia gazeti ambalo aliandiki habari za ccm
haki itatendeka tu huwezi kuzuiya mafuriko kwa mkono
Ni kweli kabisa chama chetu cha Chadema kimekuwa cha matapeli tuNaunga mkono hoja , lakini pia ofisi ya chadema pale ufipa ni mbaya mno napendekeza Mbowe apunguziwe mshahara, pia na ile kodi aliyopata baada ya kuuza chadema kwa lowasa nayo iwekwe wazi ili chama kijenge ofisi nzuri.
Ni aibu chama kina miaka 24 lkn ofisi yake utafikili ni bafu.
Wenu kinda la chadema
Sauti ya wasiokuwa na sauti leo imezimwa rasmi. Makala yake yalikuwa mwiba na yanawakera watawala. Mwaka huu tutaisoma namba. CCM mbele kwa mbelesafiiii ilo gazeti limekua sani au kiu,,bado iyo mwana halisi nayo wairudie