Akili yako imeona hilo tu?Yaani kulifungia hilo gazeti kisa ni kuweka picha ya Rz1 akifungwa kamba za viatu na Makonda au kuna jingine?
We utasubiri sana.Ninyi nyote mnaoshangilia gazeti la mawio kufungiwa, mje mshangilie tena siku wakishinda kesi mahakamani. Tatizo la serikali yetu imejaa wakurupukaji !
Yaan ni uzembe mwingine juz serekali imeshindwa kesi mahakaman na gazeti la mwanahalisi ,serekali inadaiwa mamililio leo tena mawio limefungwa badae utashangaa tena serekali imeshindwa kesi wanadaiwa mamilion....Nape tuonee huruma na kod zetu
hahaha nyny 'vijana wa mzee' kwakweli huwa mnafurahsha xana, inabid mkubal 2 kuwa nape ni kiboko ya mzee wenu,mwaka jana mliimba xana kuwa "mafuriko hayazuliki kwa mkono" mwenzenu akawajibu kuwa "mafuriko yamezuiliwa kwa kalamu ya sh 200", kumbuken wakat huo alikua na cheo chamani tu, leo hii anavyeo kote kwenye chama na kwenye serikali ashndwe kuyazuia hayo mafuriko? tena kwa taarifa yenu nape anaweza kuyazuia hayo mafuriko yenu hata kwa mdomo tu.nape ameanza vibaya sana kwenye ngazi ya uwaziri,lkn tulijua huyu kwa tabia zake lazima atalifungia gazeti ambalo aliandiki habari za ccm
haki itatendeka tu huwezi kuzuiya mafuriko kwa mkono
hvi huo uhuru wa vyombo vya habar unautaka wa aina gan?, kwamba MENGI akikwaruzana na MUHONGO, akimbilie radio one na kuanza kutoa mipasho kwa mwenzie?, hebu 2mia akiri kidogo hv uliposoma habar ya makonda kumfunga kamba za via2 riz one, ww ilikusaidia nn?Alichofanya Nape na Serikali ya Mafisi ya CCM ni ukandamizaji wa vyombo vya habari.Hapa TANZANIA tunadanganyana maana kiukweli hakuna UHURU wa media kabisa.
Seriksli ya Mafisi ya CCM haitaki kukosolewa wala kusahihishwa! Huu ni ujinga ambao laxima ukomeshwe!
kwl mkuu, hii hapa nyngne MTU YEYOTE ANAYEMWUNGA MKONO LOWAXA, AKAPIMWE AKILI by mch.msigwa, mm nashaur si wanasiasa tu, bali hata wachungaj pia 2cwaaminNever trust a politician; huyu Nape statement ya kwanza kati ya zile alizozitoa alipochaguliwa kuwa waziri wa habari ni kuwa SINTAFUNGIA GAZETI LA HABARI HATA MOJA, lakini leo hii amekula matapishi yake!!
Mwaka huu tutaheshimiana mjini.Gazeti la habari za kiuchunguzi la Mawio limefungiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini kwa kinachodaiwa "kukiuka" maadili ya uandishi wa habari.
============
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imetangaza kulifungia gazeti la Mawio linalochapishwa na kampuni ya Victoria Media Services Ltd kutokana na kukiuka maadili ya Uandishi wa Habari.
Katika taarifa rasmi iliyotolewa tarehe 15, January, 2016, imeeleza kuwa gazeti husika halitoruhusiwa kuchapisha nakala zake kokote, iwe ni nakala ngumu (hard copy) au mtandaoni (electronic).
![]()
si walishinda kesi na serikali inawalipa sasaNasubiri mwanahalisi, watanyoooka tuu