Ccm wanatumia chupa kujaza pipa, mama Mkangara alipotumia nguvu akifungia mwanahalisiKubenenea ashalipwa mabilioni yake kwa hasara aliyoipata kufungiwa mwanahalisi?
Sheria ipi unataka wakati ilo gazeti la MAWIO limevunja katiba kwa kuandika uchochezi.Nape yupi anajua sheria au ni kuongea tu ?? Hata walivyolifungia mwanahalisi walikuwa na wanasheria ila wakabwagwa
Uchochezi upi au wameandika madudu yenu ,na ubaguzi wa rangi mnaoufanya zanzibar..Sheria ipi unataka wakati ilo gazeti la MAWIO limevunja katiba kwa kuandika uchochezi.
Utumbo mtupu huuHabari kwenu wakuu
Lile gazeti chochezi la saed kubenea , mzee wa elimu ya hapa na pale aliyesoma vyuo vya hapa na pale lafungiwa rasmi Jana 15/01/2015
Ushahidi huu hapa
unadhani watu ni wajinga kama mlivyo ninyi na CCM yenu...Wezi na wakwepa kodi.Mwanahalisi wamelipwa nini hivi Kubenea kawashikia watu akili sana, nchi inaendeshwa na sheria siyo uhuni na porojo .
Ndugu,ni nani aliye dharirishwa kwani. Sheria zipo,ukionewa ama habari ya uongo unawashtaki. Ukweli hupatikana zile sio siasa. kinachoandikwa kinapaswa kiwe na kweli ndani yake. Tuache kushabikia vitu kama watu wasio na elimu.Safi sana, tena Wasilifungue kabisa kwa sababu linadhalilisha watu kinyume na maadili ya uandishi wa habari
Naona una kihoro kamandaToa utumbo mawio kufungiwa kwako sherehe wakati ni muda wakutumbua msjipu simzitumie taarifa zao sio kuwafungia
Usishangae mkuu, Nilileta uzi hapa ni jinsi gani Nape hafai kuwa waziri na kuwa magazeti yangefungiwa hovyo Nikashangaa kuona mods wamefuta Uzi wangu, Nape ni hopeless kabisa anaendesha wizara kwa chuki za kisiasa sasa ngoja atakiona cha moto rais Magufuli lazima amfukuze kazi maana serikali italipa tena mabilioni. Nape hovyo kabisa.Yaan ni uzembe mwingine juz serekali imeshindwa kesi mahakaman na gazeti la mwanahalisi ,serekali inadaiwa mamililio leo tena mawio limefungwa badae utashangaa tena serekali imeshindwa kesi wanadaiwa mamilion....Nape tuonee huruma na kod zetu
Unasemea ile radio 5?Mbona hamsemi kuhusu magazeti na redio za fisiem zilizofungiwa kwa kukwepa kodi .mlidhani ule wimbo mlikuwa mnawaimbia ukawa sasa mtaisoma namba wenyeww. Mwanahalis ipo tutaendelea kuisoma mkiifungia nayo basi tunaanzisha lingine
Tatizo sio nape,tatizo ni wale mawakili wao akina mawio wasio na ethics ndo wanailipisha serikali kabisa?kwa ushenzi wa mawio?Yaan ni uzembe mwingine juz serekali imeshindwa kesi mahakaman na gazeti la mwanahalisi ,serekali inadaiwa mamililio leo tena mawio limefungwa badae utashangaa tena serekali imeshindwa kesi wanadaiwa mamilion....Nape tuonee huruma na kod zetu
Kama,wanailipisha kwasababu tunaserekali ya kilaghai isiyofuata misingi ya utawala bora ,na serekali yenye harufu ya udikteta na wachumia matumbo yao .Serekali ya kina Nape haipend kuambiwa ukwel.Tatizo sio nape,tatizo ni wale mawakili wao akina mawio wasio na ethics ndo wanailipisha serikali kabisa?kwa ushenzi wa mawio?
hata wewe ni jipuMleta uzi Nape ni mtumbua majipu siyo jipu.