Sheria imeshabadilika, umeshaisoma sheria hii mpya? Ndo maana hapo umenadikiwa Permanently. Kwahi usitegemee hilo.
Na watatulia na hawa Nyumbu wao wanao wategemeaJK aliwadekeza sana mpaka wakamutita rais dhaifu acha sasa waisome namba.
Kila zama na kitabu chake.
Ili gazeti lilitakiwa kufutwa siku nyingi sana .
tutaiona hiyo mahakama hivi mnalijua kosa wa hilo gazeti au mnasema tu
Achana na hizo habari za mahakamani mkuu, hii ni serikali ya matamko na kushtukizana kama hivi!kwa jinsi kichwa cha Nape kiliivyo nlijua lazima afungie nabado atashindwa kesi mahakamani
Alikuwa ana zidisha Uzuzu wa watuLimeitesa sana ccm na Serikali yake nilijua Nape hawezi liacha, hawa jamaa hawataki ukweli kabisa aise
Mwanalisi lilipofungiwa aliazisha MAWIO ,sasa mawio limefungiwa sijui ataazisha MACHOYO ,Nape big up! tumekuwa tukisema kuwa Kubenea mzee wa elimu ya hapa na pale ni fisadi wa uandishi wa habari. tena ikiwezekana hata Mwanahalisi lifungiwe tena na nipo tayari kutoa ushahidi mahakamani kwa nini lifungiwe. haiwezekani kwa miaka minane na ushee walikuwa wakituandikia kuwa Lowasa ni fisadi. halaf leo eti kageuza mawazo kuwa Lowasa sio tena fisadi wamemsafisha. upumbaf na ulofa huu. tena ningekuwa mimi Lowasa ningempeleka Kubenea mahakamani anilipe fidia kwa kunidhalilisha na kushusha heshima na utu. haiwezekani. Lissu aliandika List of shame, ndani yake Lowasa yumo. hivi alikuwa anamaanisha utani tuu? ? sio kweli? ??? ushenzi mtupu makanjanja kama hawa wanatakiwa wafungwe milele kwa ustawi wa taifa hili
Viongozi wa wa ccm hawapendi ukweli na wanauchukia sanaAlikuwa ana zidisha Uzuzu wa watu
Wamefanya vizuri
Lkn Sani na Kiu zinapeta.safiiii ilo gazeti limekua sani au kiu,,bado iyo mwana halisi nayo wairudie
Mwanahalisi wamelipwa nini hivi Kubenea kawashikia watu akili sana, nchi inaendeshwa na sheria siyo uhuni na porojo .kwani serikali inavumilia criticisms...it was expected anyway
Na watawalipa Mawio mamilioni kama ilivyokuwa kwa mwanahalisi
mwanahalisi itaendelea kuwa sokoni
Mnajifisha ndani ya uhuru mlipewa kwa kuandika ujinga ,eti uhuru ,hata marekani ambayo ndio baba wa democracy,huo ujinga wa kuandika majungu kwa mgongo wa Democrasia hawawezi kuuvumilia, mbona nipashe, tz daima, uhuru ,habari leo ,raia mwema lipo siku zote ,Alichofanya Nape na Serikali ya Mafisi ya CCM ni ukandamizaji wa vyombo vya habari.Hapa TANZANIA tunadanganyana maana kiukweli hakuna UHURU wa media kabisa.
Seriksli ya Mafisi ya CCM haitaki kukosolewa wala kusahihishwa! Huu ni ujinga ambao laxima ukomeshwe!
Hata ile nyingine ya mwanahalisi iliandikwa permanently?? Tatizo nikuwa kuna utata sheria inakinzana na katiba ya nchi
Nape yupi anajua sheria au ni kuongea tu ?? Hata walivyolifungia mwanahalisi walikuwa na wanasheria ila wakabwagwaKwani hao wanasheria wa Nape hawaelewi sheria yoyote inayokinzana na katiba ya nchi haiwezi kukubalika mahakamani?