Mawazo yananiua!

Mawazo yananiua!

Mkuu wala hata usihofu maana wengi wanawagopa sana so wanatumia ndom uko safe.
 
Kila kiumbe hai kitaonja mauti.
Usiogope kufa ogopa maumivu.
Kapime ujue kama unao.
Si kila bar Maid anao.
ACHA MAWAZO.

He who pays a Piper calls for a tune.
 
wewe ucjali kama ukimwi siiitakuwa imepata pombe..! kwakuwa pombe asubuh iliisha kichwani,basi na wadudu watakuwa wameondoka na pombe....!? ila kila ukinywa wanaludi kwasababu umewaacha kwenye pombe...
so uache pombe ili usipate tena wadudu.......
 
Post Exposure Prophlaxis inafanya kazi ndani ya masaa 72 baada ya tukio n.b. jumapili huwa hawafungui hospitali nyingi so fanya mishe uongee na wahusika by any means kabla ya masaa kuisha
 
Utafiti wangu unaonesha hao barmads kwa asilimia kubwa wapo salama kuliko wadada wa mtaani na wake za watu.

Hii research inapaswa utulize akili ndio utajuwa wadada wa mtaani ni malaya kuliko hao wa bar.

ni kweli usemalo...wa mtaani tunao waamini ndio wanaotuua
 
kama hayajapita masaa 72 nenda hospitali wakupe PEP

PEP, HUTOLEWA KWA WATU WALIOPATA AJALI [NA KUMWAGIKIWA NA DAMU YA WATU MBALIMBALI] KUJICHOMA NA SINDANO PAMOJA NA KURUKIWA NA DAMU JICHONI KUTOKA KWA MTU ANAYESADIKIKA KUWA AMEATHIRIKA

INABIDI KUMPIMA MSABABISHI ILI KUMTAMBUA KAMA AMEATHIRIKA AU LA. KAMA AMEATHIRIKA, NDIPO NA WEWE MLALAMIKAJI UNAPIMWA. KAMA HAUJAATHIRIKA UNAANZISHISHWA ,ART ,fasta [IWE NDANI YA MASAA 72,TANGU TUKIO KUTOKEA] DAWA AMBAZO UTATUMIA KWA KIPINDI CHA MWEZI MMOJA . KAMA UMEATHIRIKA BASI HAUNA UMUHIMU WA KUANZISHIWA ART FASTA,UTAPIMWA VIPIMO VINGINE ,ILI UJULIKANE KAMA UNA VIGEZO VYA KUTOSHA KUANZISHIWA HIZO DAWA.


,....MY TAKE KINGA YA PEP SIO KWA AJILI YA KUJIKINGA BAADA YA NGONO ZEMBE,...TAFADHALINI ACHENI KUHADAA WATU

.....NAKARIBISHA MASWALI KWA HILI.............
 
Hapana hujanielewa, nachukizwa na watu kupretend maisha utadhani watu waliopo hapa JF siyo sisi tunaoishi na jamii huko mitaani.

kwa mfano hii hadithi licha kwamba ni ya kutunga kuleta porojo jamvini je barmaid s unaowajuwa wewe anaweza kurudi kijijini kwao kwa sababu amefukuzwa na muajili wa awali? Bar zote hizi kama utitiri zinahitaji wanafanyakazi na hawapatikani kirahisi. Tuheshimu binadamu wenzetu.

Hivi ukiwa na dada yako hapo mtaani ana salon na frem moja kaweka vinywaji jioni anauza bia hivi huyu ni barmaid au mnamuitaje?
Ahsante ndugu Matola Nikueleze tu hii wala si hadithi kama unavofikiria, usiu kucha mwenzio sijalala kwa mawazo. Hata hizo bar unazozijua hawaajiri mtu from no where, wana rpocess zao za kuajiri. Na katika mazungumzo mengi nilokua naongea na mdada huyu, nilikua nikimsihi aache ubarmaid.
 
Last edited by a moderator:
pep, hutolewa kwa watu waliopata ajali [na kumwagikiwa na damu ya watu mbalimbali] kujichoma na sindano pamoja na kurukiwa na damu jichoni kutoka kwa mtu anayesadikika kuwa ameathirika

inabidi kumpima msababishi ili kumtambua kama ameathirika au la. Kama ameathirika, ndipo na wewe mlalamikaji unapimwa. Kama haujaathirika unaanzishishwa ,art ,fasta [iwe ndani ya masaa 72,tangu tukio kutokea] dawa ambazo utatumia kwa kipindi cha mwezi mmoja . Kama umeathirika basi hauna umuhimu wa kuanzishiwa art fasta,utapimwa vipimo vingine ,ili ujulikane kama una vigezo vya kutosha kuanzishiwa hizo dawa.


,....my take kinga ya pep sio kwa ajili ya kujikinga baada ya ngono zembe,...tafadhalini acheni kuhadaa watu

.....nakaribisha maswali kwa hili.............
inapatikana angaza hiyo kinga? Hebu nieleweshe mdau ni make follow up. Mana leo ndio siku ya mwisho.
 
Mkuu wala hata usihofu maana wengi wanawagopa sana so wanatumia ndom uko safe.
Yao asubuhi nilivostuka nilikua kama nimepagawa vile nikamuuliza maswali mengi, mojawapo nilimwuliza kua ameshatembea na wangapi, akanambia kwa pale bar ametembea na dj tu ila mara nyingi. Roho ikaniruka tena mana dj mwenyewe nae ni balaa. Pia nilijua tu kanidanganya experience aloonyesha aonekana tu amekubuhu kwenye haya mambo.
 
hivi iwezekanaje huyu maid amtose boss wake hadi afukuzwe kazi afu we akupe kiulainiiiiiii.bado haijaniingia akilini..... nahis km kastory umekatunga na km ni cha kweli sidhan km ungepata ujasiri wa kukaleta hapa coz atakuwa ashakuambukiza.subiri miez mitatu ukacomfirm tu
 
i dedicate to u da song starehe by ferouz ft prof j
 
Last edited by a moderator:
Kuna kitu kinaitwa prophylaxis, ni arv lakini unapewa dozi ambayo itaboost kinga zako na kusaidia kupunguza uwezekano wa maambukizi.

Huwezi kununua phamacy. Ni lazma ukapimwe kwanza na kupata ushauri. Kama hauna hiv hapo ulipo sasa, utapewa dawa na kufuatiliwa kwa karibu. Sio dawa rahisi kama amoxylin ama dawa mseto, zinaweza kukusumbua. Bado hujafika hospitali? Mpaka jumatatu hautasaidika tena.
Alaa kumbe zipo hizo dawa? zinaitwaje nikazinunue famasi? mana mpaka kesho naona kama nachelewa King'asti
 
Last edited by a moderator:
Kwa taarifa yako huduma za hospitali na kitabibu hazibagui. Yeyote ambaye anahisi amepata accidental exposure ana haki ya kupata hii huduma. Acha kupotosha, kama mnahukumu watu huko unakosali basi hospitali huduna hazibagui.

Inaingia akili umnyime mtu PEP halafu akishapata HIV usiulize uliipata wapi na uanze tu kumpa huduma na ART? Ni akili matope ama? Kila liwezekanalo kupunguza uwezekano wa mtu mmoja kupata hiv linafanyika, kwa upendo na bila kuhukumi. Spare us your 'holier than thou' attitude.
PEP, HUTOLEWA KWA WATU WALIOPATA AJALI [NA KUMWAGIKIWA NA DAMU YA WATU MBALIMBALI] KUJICHOMA NA SINDANO PAMOJA NA KURUKIWA NA DAMU JICHONI KUTOKA KWA MTU ANAYESADIKIKA KUWA AMEATHIRIKA

INABIDI KUMPIMA MSABABISHI ILI KUMTAMBUA KAMA AMEATHIRIKA AU LA. KAMA AMEATHIRIKA, NDIPO NA WEWE MLALAMIKAJI UNAPIMWA. KAMA HAUJAATHIRIKA UNAANZISHISHWA ,ART ,fasta [IWE NDANI YA MASAA 72,TANGU TUKIO KUTOKEA] DAWA AMBAZO UTATUMIA KWA KIPINDI CHA MWEZI MMOJA . KAMA UMEATHIRIKA BASI HAUNA UMUHIMU WA KUANZISHIWA ART FASTA,UTAPIMWA VIPIMO VINGINE ,ILI UJULIKANE KAMA UNA VIGEZO VYA KUTOSHA KUANZISHIWA HIZO DAWA.


,....MY TAKE KINGA YA PEP SIO KWA AJILI YA KUJIKINGA BAADA YA NGONO ZEMBE,...TAFADHALINI ACHENI KUHADAA WATU

.....NAKARIBISHA MASWALI KWA HILI.............
 
Nenda mwenge kituo cha marie stopes sasa hivi kama uko dsm. Ama palestina kituo cha afya. Jieleze kifasaha na issue yako itafanywa emergency. Kila la kheri
inapatikana angaza hiyo kinga? Hebu nieleweshe mdau ni make follow up. Mana leo ndio siku ya mwisho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom