Mawazo yananiua!

Mawazo yananiua!

Naamini kama ungekua hujanywa mipombe usingekua na ujasiri wa kufanya ulichokifanya, pombe ! pombe ! jamani pombe hizzz
 
Utafiti wangu unaonesha hao barmads kwa asilimia kubwa wapo salama kuliko wadada wa mtaani na wake za watu.

Hii research inapaswa utulize akili ndio utajuwa wadada wa mtaani ni malaya kuliko hao wa bar.
 
Wahi kalipie kaplot cha kaburi aisee, usije waachia watu gharama. Hizi plot zimepanda bei sana siku hizi.
 
Asubuhi wahi hospitali hakikisha unajieleza ili upewe dawa kwa ajili ya kukulinda usipate ukimwi, kama haujapata bado.

Hongera mfadhili
 
dah wanaume wengine mna njaa ya ngono kama nn lol,,omba tu rehema kwa mungu usiwe umeupata!au umeambukizwa UTI,Kaswende kisonono!
 
Utafiti wangu unaonesha hao barmads kwa asilimia kubwa wapo salama kuliko wadada wa mtaani na wake za watu.

Hii research inapaswa utulize akili ndio utajuwa wadada wa mtaani ni malaya kuliko hao wa bar.
Eti eeh? Daah nikisave hii pombe basi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom