du pole sana, mimi nilishauzaga nyingi tu, ila usiwaze sana maana utaumia, cha muhimu ni kupima mara ya kwanza kisha baada ya miezi mitatu nenda tena ukapime, hapo ndipo mwisho wa mawazo yako, ila VVU bwana mpaka uvipate? siku nyingine uwe unaloweka na maji mengi.