Mawazo yananiua!

Mawazo yananiua!

hivi iwezekanaje huyu maid amtose boss wake hadi afukuzwe kazi afu we akupe kiulainiiiiiii.bado haijaniingia akilini..... nahis km kastory umekatunga na km ni cha kweli sidhan km ungepata ujasiri wa kukaleta hapa coz atakuwa ashakuambukiza.subiri miez mitatu ukacomfirm tu
Kwenye mapenzi hayo ni awaida tu. waweza ua na hela nyingi ukamtokea msichana akakupotezea na hela zako kisha akaenda kwa kabwela kujipendekeza, Nimepata ujasiri huu baada ya kusongwa na mawazo nikaona bora nishee na members labda wanaweza nisaidia kwa njia yoyote ile.
 
Pole kaka, sometimes s*t happens. Kuna watu washawahi kupasukiwa na condoms na majanga kibao. Usife moyo kwanza kapime ujue ur current status. Pia ingawa mie sio dr ila wasemavyo wenyewe men wana less chance ya kuambukizwa than wanawake kwa maumbile yao. Naamini hujaambukizwa ila this is a wake up call for you. Sali/swali sana... talk to your God and ask for his forgiveness and protection, that in turn itakupunguzia mawazo ukijikabidhi maisha yako kwa Mungu. Ingawa limeanza vibaya but pengine jambo hili laweza kukufanya uwe the best person you can be forever. Remember no one will leave this world alive... Jipe moyo u r okay
 
JF Ni kichaka cha wanafiki Tu,utadhani most ya waliochangia hawaishi mitaani kama kila mmoja anatumia kinga,mbona graph inapanda daily?

Mleta Uzi nakushauri upige Moyo konde usiwe na stress saana maana haisaidii kikubwa nenda kapime after 3months lkn hakikisha unamlinda huyo uliyenae kwa sasa.
 
Pole kaka, sometimes s*t happens. Kuna watu washawahi kupasukiwa na condoms na majanga kibao. Usife moyo kwanza kapime ujue ur current status. Pia ingawa mie sio dr ila wasemavyo wenyewe men wana less chance ya kuambukizwa than wanawake kwa maumbile yao. Naamini hujaambukizwa ila this is a wake up call for you. Sali/swali sana... talk to your God and ask for his forgiveness and protection, that in turn itakupunguzia mawazo ukijikabidhi maisha yako kwa Mungu. Ingawa limeanza vibaya but pengine jambo hili laweza kukufanya uwe the best person you can be forever. Remember no one will leave this world alive... Jipe moyo u r okay
Ahsante ndugu.
 
JF Ni kichaka cha wanafiki Tu,utadhani most ya waliochangia hawaishi mitaani kama kila mmoja anatumia kinga,mbona graph inapanda daily?

Mleta Uzi nakushauri upige Moyo konde usiwe na stress saana maana haisaidii kikubwa nenda kapime after 3months lkn hakikisha unamlinda huyo uliyenae kwa sasa.
Ahsante mdau. Leo ndo nimepanga nimpeleke pahala mbali na nyumbani afu nimfungukie juu ya haya maswahibu. Sielewi atayapokeaje, Sijui nitaanzaje anzaje. Daah! What if kesho nikipima nikikuta nimeambukizwa, sijui ndio tutaachana, sijui tutaishi vipi! maswali mengii kichwani.
 
Ahsante mdau. Leo ndo nimepanga nimpeleke pahala mbali na nyumbani afu nimfungukie juu ya haya maswahibu. Sielewi atayapokeaje, Sijui nitaanzaje anzaje. Daah! What if kesho nikipima nikikuta nimeambukizwa, sijui ndio tutaachana, sijui tutaishi vipi! maswali mengii kichwani.
nakuomba please!
usimwambie.
nakuomba!!
nenda kapime kama hujaathirika piga kimya!
jifunze kuishi kwa uaminifu
it hurts!!
 
sasa umefanya jana unataka upime leo jaman hii manake nin kwamba ujapata majibu ya wadudu ama vp labda ukapme uzito ndio utakuw umepungua kwa kaz uloifanya na huyu mwanadada
 
Ahsante mdau. Leo ndo nimepanga nimpeleke pahala mbali na nyumbani afu nimfungukie juu ya haya maswahibu. Sielewi atayapokeaje, Sijui nitaanzaje anzaje. Daah! What if kesho nikipima nikikuta nimeambukizwa, sijui ndio tutaachana, sijui tutaishi vipi! maswali mengii kichwani.

umpeleke nan mkeo ama huyo barmaid?
duu na mungu akuongoze ktk hlo ni zaid ya ujasir unaoitajika
 
Kwa taarifa yako huduma za hospitali na kitabibu hazibagui. Yeyote ambaye anahisi amepata accidental exposure ana haki ya kupata hii huduma. Acha kupotosha, kama mnahukumu watu huko unakosali basi hospitali huduna hazibagui.

Inaingia akili umnyime mtu PEP halafu akishapata HIV usiulize uliipata wapi na uanze tu kumpa huduma na ART? Ni akili matope ama? Kila liwezekanalo kupunguza uwezekano wa mtu mmoja kupata hiv linafanyika, kwa upendo na bila kuhukumi. Spare us your 'holier than thou' attitude.
jamaa alivyoongea nikajua labda ni coordinator wa CTC. lakini post exposure prophylaxis hutolewa hata kwa waliobakwa, waliopasukiwa condom na watu wote walio kwenye risk ya kupata ngoma. wenye risk kubwa walikuwa wanapewa dawa tatu na ndogo dawa mbili
 
Yangekuwa masaa 72 hayajapita ningekuambia uende angaza wangeweza kukupa chanjo incase
 
Punguza mawazo..Subiri miezi mitatu halaf ukapime unaweza ukawa umesalimika na AIDS TO TRADE..Afu cku nyingine be carefull..poor man!
 
kwa taarifa yako huduma za hospitali na kitabibu hazibagui. Yeyote ambaye anahisi amepata accidental exposure ana haki ya kupata hii huduma. Acha kupotosha, kama mnahukumu watu huko unakosali basi hospitali huduna hazibagui.

Inaingia akili umnyime mtu pep halafu akishapata hiv usiulize uliipata wapi na uanze tu kumpa huduma na art? Ni akili matope ama? Kila liwezekanalo kupunguza uwezekano wa mtu mmoja kupata hiv linafanyika, kwa upendo na bila kuhukumi. Spare us your 'holier than thou' attitude.



naona ban inanukia ngoja nirudi!
 
jamaa alivyoongea nikajua labda ni coordinator wa ctc. Lakini post exposure prophylaxis hutolewa hata kwa waliobakwa, waliopasukiwa condom na watu wote walio kwenye risk ya kupata ngoma. Wenye risk kubwa walikuwa wanapewa dawa tatu na ndogo dawa mbili

naona ban inanukia tena
 
Alazwe pema peponi kamandaaaah.....,starehe mnazpenda ila mwsho wake ni mbaya weng wameteketea kwa kuendekeza.....,
Ayaaaah! et nmekalia kuimba nikaacha kutoa ushaur sory..kapime dogo kumbka m2 ule do nae kama ni memory ni GB kubwa pre-caution's best rather dan taking action b4,ucwaze!
 
Subiri muda kidogo upite ukapime na usijihusishe kimapenzi na mtu mwingine kwa kipindi hiki
 
Atakuwa muumini wa kanisa uchwara huyu, anayejihisi mtakatifu kwa sababu yeye hazini, ila anamuibia muajiri muda kwenda kwenye maombi na anapiga dili la kutumia per diems ama mali za muajiri kwa kazi za kanisani.
jamaa alivyoongea nikajua labda ni coordinator wa CTC. lakini post exposure prophylaxis hutolewa hata kwa waliobakwa, waliopasukiwa condom na watu wote walio kwenye risk ya kupata ngoma. wenye risk kubwa walikuwa wanapewa dawa tatu na ndogo dawa mbili
 
Dah kama movie flani, pole sana mkuu subiri kama mwezi hivi ndio ukapime wadudu wanaeza onekana km wapo!

But huwezi jua unao au huna ni 50/50, all men are poligamists by nature
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom