Mawazo yananiua!

Mawazo yananiua!

dah wanaume wengine mna njaa ya ngono kama nn lol,,omba tu rehema kwa mungu usiwe umeupata!au umeambukizwa UTI,Kaswende kisonono!
Ninaomba usiku kucha da Charity .Naomba unisaidie tuombe sote.
 
Last edited by a moderator:
Asubuhi wahi hospitali hakikisha unajieleza ili upewe dawa kwa ajili ya kukulinda usipate ukimwi, kama haujapata bado.

Hongera mfadhili
Alaa kumbe zipo hizo dawa? zinaitwaje nikazinunue famasi? mana mpaka kesho naona kama nachelewa King'asti
 
Last edited by a moderator:
Haaa...wee kwisha habari yako coz huyo dada namfaham na nilikua nawaona nae sana na hata siku anatimliwa pale bar nilikuwepo. Kuna Mzee mmoja wa serikalin amezikwa mwezi wa 9 mwaka jana ilikua ngoma yake huyo dada na kabla ya kuhamia hiyo bar alikua Dodoma chako ni chako na kuna washkaj wawili hatunao tena.

Huna hata haja ya kupima mshkaji wee kaanze na arv fasta ila ndio ushaondoka hivyo.
 
Na sasa kama una mke au girlfriend usifanye nae mapenzi bila kinga hadi hapo utakapopima na kujua status ya afya yako, usijeua watu wasio na hatia kwa ujinga wako.
Ndio nafikiria hapa nitamuanzaje anzaje kumwambia. daah!
 
Pole kwa kuisingizia pombe..kapime huku ukiwa kwenye kipindi cha mficho
 
Huna ngoma wala nini. kama ingekuwa kila tukitembea peku tu tunapata ngoma asingebaki mtu duniani. Siri zetu tunazijua wenyewe
 
Haaa...wee kwisha habari yako coz huyo dada namfaham na nilikua nawaona nae sana na hata siku anatimliwa pale bar nilikuwepo. Kuna Mzee mmoja wa serikalin amezikwa mwezi wa 9 mwaka jana ilikua ngoma yake huyo dada na kabla ya kuhamia hiyo bar alikua Dodoma chako ni chako na kuna washkaj wawili hatunao tena.

Huna hata haja ya kupima mshkaji wee kaanze na arv fasta ila ndio ushaondoka hivyo.
Hata wewe mbona utaenda tu, wote tu safari moja kaka au we utaish milele?
 
Ndio nafikiria hapa nitamuanzaje anzaje kumwambia. daah!

Utoto unakusumbuwa sana wewe jamaa, hivi una uhakika mke wako habanduliwi? Don't be so stupid unatudharirisha wanaume, hotel karibu zote za sinza mchana zinajaa wake za watu wanabomolewa kama hawana akili nzuri.
 
Utoto unakusumbuwa sana wewe jamaa, hivi una uhakika mke wako habanduliwi? Don't be so stupid unatudharirisha wanaume, hotel karibu zote za sinza mchana zinajaa wake za watu wanabomolewa kama hawana akili nzuri.
risechi zako ziko so complex
 
Kama una mpenzi tafadhali usimlale mpaka uhakikishe umepima na u salama. Mungu ni mwingi wa kusamehe, fanya toba. Lakini pia piga moyo konde ukapime bro.
 
Hata ukiwaza mwaka mzima hutabadili chochote,kuwa tu mpole usubiri hiyo miezi mitatu ipite ukapime.
Ukijifanya bingwa wa kuwaza utakimbia hata majibu Bila kujua yanafananaje.
 
maskini, na barmedi ndo keshaenda kijijini hivyo, bora hata angebaki mkawa mnasaidiana mawazo......... lako hilo matatizo lol!
Daah wandugu. Hebu kueni na huruma jamani, badala mifariji ndio mwazidi kunidhoofisha. Aaah!
 
usijidanganye kwenda kupima kesho, subiri miezi mitatu ndo virus vitaonekana na ukishapima ule mrejesho hapa
Ninaomba usiku kucha da Charity .Naomba unisaidie tuombe sote.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom