Wanyongwe hao jamani
Ni kweli
frm pekupeku.blogspot.com
Ni kweli
frm pekupeku.blogspot.com
suluhisho ni nini sasa
Bora uchafu wote ndan ya chama chetu umalizike mapema ili imani wananchi waliyo nayo juu ya CCM iendelee kuwepo.
Same Script, Different Cast...
Sitegemei mabadiliko (unless tum-clone Magufuli) na kumpa kila wizara
Unamuwakilisha nani?
Kama kutatokea mabadiliko yoyote, sifa zote ziende kwa upinzani!
Kamati zote zinazoongozwa na wapinzani zimefanya kazi njema sana!
kikwete ndo amefika mda si mrefu toka ziarani
Mungu saidia Mr Tanesco naye awemo..!
Yumo mkuu. Atafaa sana kuanzisha bendi kama ya asha baraka.