Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Watanzania tuwaunge mkono wabunge wazalendo akina Zitto, Tundu Lisu, Deo Filikunjombe n.k

Wanaharakati wako wapi watuunganishe watanzania wote tupinge ufisadi. Ngeleja pia lazima aondoke

Ngeleja ameshiriki utoroshaji wa madini, amechakachua Tanzanite, amepandisha bei ya mafuta taa

Wananchi wa itikadi zote tunaumia

Tuandamane kote nchini
 
Same Script, Different Cast...

Sitegemei mabadiliko (unless tum-clone Magufuli) na kumpa kila wizara
 
Welcome to the 21st century:
Phones-wireless.
Cooking-fireless.
Cars-keyless.
Food-fatless.
Youth-jobless.
Leaders-shameless.
Relationships-meaningless.Attitude-careless.
Feelings-heartless.
Education-valueless.
Am just speechless.
Everything has become LESS but still our hopes are endless!! good 9tless.

Mkuu umenipa wakati mzuri sana! Good 9tless!
 
Bora uchafu wote ndan ya chama chetu umalizike mapema ili imani wananchi waliyo nayo juu ya CCM iendelee kuwepo.
 
naona wille malecela ameandika pia kwenye face book naona kuna ukweli kwenye hili jambo

Ndugu hii habari naiamini kwa sababu ya kina Field Marshal, mimi huyu @ NYC simwamini, umesahau hii

- According to the datas, Chenge ameachia ngazi rasmi leo ndani ya CC inayoendelea sasa hivi Dodoma!

Willie @ NYC, USA.
 
Bora uchafu wote ndan ya chama chetu umalizike mapema ili imani wananchi waliyo nayo juu ya CCM iendelee kuwepo.

uchafu ni kina nani? ha aha ah aha !!!mpaka Zito kawachokonoa ndio unasema uchafu uondoke
 
kilichobaki ni vote of no confidence to President! Cabinet karibu yote imeprove failure!

... Sioni ajabu kwa hilo kutokea WHY? ... I can see only total confusion to the Government and the ruling Party!!
 
Hivi hatuna makapten wa jeshi waliomakini na wenye uchugu wa nchi hii kama Sanogo wa Mali?. JK na yeye alitakiwa abaki hukohuko Sao Paulo Brazil, mpaka hapo tutakapoweka sawa mambo ya nchi yetu. Mimi naona bado we are beating around the bush, the snake is still hanging out in Sao Paulo
 
Kwanini hakuna majina ya Makongoro Mahanga, Sofia Simba, Celina Kombani, William Lukuvi, Mary Nagu, Hussein Mwinyi, John Magufuli, William Ngeleja, Ezekiel Maige, Harrison Mwakyembe, Samuel Sitta, Jumanne Maghembe, Dk Kawambwa, Adam Malima,Lucy Nkya, Stephen Wassira, Mathias Chikawe, Mustafa Mkullo na Mizengo Pinda?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom