Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Sasa hizo barua watampa nani wakati Baba MwanaAsha yupo zake nje anakula bata!eti kifo cha msanii jamaa anaahirisha safari zake za anasa ila nshu critical kama hii hata haongei wala kurudi haraka......Kama prezidaa mnaye:A S angry:
 
kikwete ndio tatizo kubwa...huwa namfananisha na mti wa ashoki (muashoki) ule mti:

1. haufai kwa mbao

2.haufai kwa kuni za kupikia

3. haufai kwa kutengenezea samani

4.haufai kwa kuezekea nyumba

5.haufai hata kwa kivuli.

sana sana ule mti huwa ni pango na makazi ya nyoka wale wa kijani..

kikwete ni hovyo na pengine anaposikia taarifa hzi anakuwa na mixed feeling, amesaidiwa kazi ya kuondokana na mawaziri wazembe lakini pia anakuwa anasikitika kwa kupoteza watu waliokuwa wakilinda maslahi yake binafsi
Mkuu ulimfahamuje huyu jamaa, sawa kabisa. LIKES
 
wajihudhuru wote nane ni waharifu hao. Maharamia wa pesa za serikali.:target:
 
Radio one wamechukulia taarifa yao kutoka Jf
 
Sasa hizo barua watampa nani wakati Baba MwanaAsha yupo zake nje anakula bata!eti kifo cha msanii jamaa anaahirisha safari zake za anasa ila nshu critical kama hii hata haongei wala kurudi haraka......Kama prezidaa mnaye:A S angry:
barua zinaenda kwa katibu mkuu kiongozi.
 
Bila shaka watarudisha vilivyopotea/kuibiwa na kushtakiwa mara moja
 
hivi lile deni la kuhifadhi samaki wa magufuli lilokuwa linadaiwa na vic fish lililipwa?kuna mtu anajua huyo jamaa aliliingiza taifa hasara ya kiasi gani?au mnashabikia tu
Mkuu hayo ya madeni na mapungufu unayajua wewe, ila wakati nchi inataka mtu wa action ambae hamungunyi maneno, wa kunyoosha wizara (action man) I can see no other than Magufuli (husasan kwenye hili genge la majambazi.., In world of blind people, a one eyed man is King...
 
WAKUBWAAA EEEH ivi mbona watu wengine wanaona wapo juu ya sheria? yaani pesa za walipa kodi unaenda kula wewe na mkeo jamani hii ni hatari na ni dhambi kulivumilia hili watoto wetu wataishi maisha magumu mara kumi yetu kisa watu wachache embu tuchukue maamuzi tusiogope kupoteza kisa haki na usawa mimi nampenda sana mbunge wangu godbless lema ni jasiri kwa hali ya tanzania ya sasa lazima tujitoe kabisa, embu fikiria hali ya uchumi jinsi ilivyo na linganisha na nguo na magari ya gharama wanayotembelea hawa mawaziri uchwara, na ninawapa somo wabunge kaeni mkijua kuwa wananchi wanalifuatilia sana hili suala kuweni makini maana sasa watanzania hatusubiri 2015 muda wowote tunakuondoa katika cheo chako kama unaleta itikadi za kijambazi huuu ni mwisho wa wizi na kengele imeshalia watanzania tuna maisha magumu huku nyinyi magamba mkiila bata na wake zenu tumeamua watanzania wote bila kuangalia itikadi za vyama kupinga uhuni wote na ujambazi wote na muwe makini sana hizi si zama za kusubiria mahakama haki isipotendeka tutapeana hukumu tunappopajua sisi watanzania, tumewavumilia sana ila mlizidi unafiki wa kupiga makofi na kuitikia ndio na sio kama kwaya sasa parapanda i karibu kupingwa
 
kikwete ndio tatizo kubwa...huwa namfananisha na mti wa ashoki (muashoki) ule mti:

1. haufai kwa mbao

2.haufai kwa kuni za kupikia

3. haufai kwa kutengenezea samani

4.haufai kwa kuezekea nyumba

5.haufai hata kwa kivuli.

sana sana ule mti huwa ni pango na makazi ya nyoka wale wa kijani..

kikwete ni hovyo na pengine anaposikia taarifa hzi anakuwa na mixed feeling, amesaidiwa kazi ya kuondokana na mawaziri wazembe lakini pia anakuwa anasikitika kwa kupoteza watu waliokuwa wakilinda maslahi yake binafsi

Mkuu atleast huu mti unatoa Oxygen ambayo tunaitumia kuendeleza uhai, Jamaa hana faida yeyote asee, kila nikifikiria nini cha mkumfananisha naona kila kitu atleast kina faida moja.
 
Mwe wajameni.! Ina maana Pinda mgongo kabaki! Wacha nijinywee sumu mwenzenu! Tutaonana mbele ya safari.!najitoa huko cmo kabisa!
 
Mods, kuna kitu hakiko sawa mahali fulani nafungua uzi huu inafunguka habari ya mchana, kama mmezimerge basi muifute kabisa moja.

Nadhani wanazimerge kurahisisha ufuatiliaji wa mada zilizosawa. Ukifungua uzi just remember its time of postage, then go to the last page au last but one utaipata ile mpya ..
 
Way to go, wakubwa walisema lisemwalo lipo kama lipo....
 
Waliojiuzulu ni Mkulo, Chami, Ngeleja, Nundu, Maige, Mkuchika, Maghembe na Mponda, CONFIRMED
 
ni vizuri tukaleta taarifa sahihi na makini kwenye JF vinginevyo tutajenga kutokuaminiwa na wanaosoma
 
Kiongozi wa madaktari waliogoma hivi karibuni Dr ulimboka sasa wikend hii itabidi mtoe ofa ya muda wa kazi kwani mbaya wenu Dr Mpondwa anaSTEAP ASIDE..mponda atamlaumu sana ULIMBO.
 
Back
Top Bottom