Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Wandugu habari
Nina nyeti zinaingia zinasema hao jamaa hapo juu wamejiondoa na tafadhali kwa kuwa sijapata uhakika naomba mwenye lolote la kuongeza amwage hapa .
Nawakilisha wakuu .
 
Radio One imetangaza kuwa mawaziri nane wamejiuluzu, majina atatangaza katibu wa CCMM
 
Mijitu haijiuzulu mpaka ikabwe koo?tokeni bwana tuachieni nchi yetu.mzee wa laptop tatu,pete za almasi na smg vp,kasalimika?
 
kikwete ndio tatizo kubwa...huwa namfananisha na mti wa ashoki (muashoki) ule mti:

1. haufai kwa mbao

2.haufai kwa kuni za kupikia

3. haufai kwa kutengenezea samani

4.haufai kwa kuezekea nyumba

5.haufai hata kwa kivuli.

sana sana ule mti huwa ni pango na makazi ya nyoka wale wa kijani..

kikwete ni hovyo na pengine anaposikia taarifa hzi anakuwa na mixed feeling, amesaidiwa kazi ya kuondokana na mawaziri wazembe lakini pia anakuwa anasikitika kwa kupoteza watu waliokuwa wakilinda maslahi yake binafsi
 
Wandugu habari
Nina nyeti zinaingia zinasema hao jamaa hapo juu wamejiondoa na tafadhali kwa kuwa sijapata uhakika naomba mwenye lolote la kuongeza amwage hapa .
Nawakilisha wakuu .

Unamuwakilisha nani?
 
Kumbe hii si news alert tena bali ni tetesi. Tafuta uzi wa Blackbat upo unazungumzia mambo haya mpaka utachoka huko.
 
jamani hizi tetesi ni za kweli?? mods hebu fanyeni uchunguzi fasta vinginevyo tusije aminishwa tukakuta kumbe ni udaku.

Kama Udaku, labda ni hao Radio One ambao hivi punde wametangaza!Q
 
Vuvuzela Nape hupo?
Je, hawa mawazili ni magamba?
Je, hawa mawazili ni wezi na majambazi wa mali za umma. AU
Je, wamepoteza mvuto ndani ya ccm na kwa wananchi kwa ujumla.
Je, ndo utekelezaji wa sera ya kujivua magamba?
Funguka vuvuzela...
 
radio one wametangaza mawaziri 8 ila hawajawataja majina
 
Mawaziri ni viongozi wa Serikali, katibu wa chama hana mamlaka hayo.
Radio One imetangaza kuwa mawaziri nane wamejiuluzu, majina atatangaza katibu wa CCMM
 
hiyo habari ipo hapa saa nyingi sana soma kwanza new thread kabla ya kuanzisha mpya mkuu
 
Back
Top Bottom