suluhisho ni nini sasawatanzania wenzangu, tatizo la nchi hii linasababishwa na watu 2.mtu wa kwanza ni rais mwenye. Kuna mambo ambayo yanampasa yeye kama president kuyafanyia maamuzi, lakini anakua kimya, mwisho wa siku ndio tunafika hapa tulipo.mtu wa pili ni pinda. Yeye kama pm, ilimpasa kuwa firm, lkn amekuwa legelege zaidi ya jk. Pinda amekuwa rabish kabisa, yani utafikili ni msukule vile.
- Waliitwa kwenye kamati ya Uongozi chini ya Waziri Mkuu, wakaambiwa wajiondoe wenyewe, wakajifanya kulia lia kwamba inaonekana vibaya, lakini msimamo ni ule ule lazima waondoke na wamekubali, wanajaribu kulia lia huko kokus waonewe huruma lakini hakuna!, stay tuned!
ES!
Wataje sasa
Breaking NWZ bado inaendelea Emmanuel Buhohela bado hajathibitisha anadai waandishi ni wengi sana hapo viwanja vya bunge usiku huu wa saa 4.30
tupe majina make Radio One hawezi kusema breaking News bila kutaja majina ya waliojiuzulu,