Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Hivi pamoja na kujiuzulu hakuna namna ya kuwavua na ubunge pia? Au ccm kama ipo serious iwavue uanachama kabisa!
 
Press conference ya ministers kujiuzulu inaendelea

source: kamanda
 
hutaki acha.sasa kama hujui kuwa mawaziri wanaajiriwa na nani kuna umuhimu gani wa kuendelea kubishana na wewe? Ndio unanyan'ganywa tonge mdomoni hivyo aliyekuambia ufanye madudu ni nani?

Tonge lako, langu na la mwingine yeyote halitegemei uhodari wako wangu au wa yeyote yule. Huna uwezo wa kumpa au kumtoa mtu tonge, hata wa kujipa mwenyewe huna. Siku mwenye kutoa tonge akisitisha utoaji wake hata uingizwe kwa mirija haipiti. Wacha upunguani.
 
View attachment 52256

Tatizo ni huyu hapa, tutabadisha sana mawaziri tatizo linabaki palepale.

Infact huu ndio mzizi wenyewe. Sidhani kama JK anaweza kuapisha mawaziri safi, wasio na scandal yeyote kutokana na sababu zifuatazo 1)kupata uwaziri lazima uwe mshkaji wa Kikwete au mtu wa ndio mzee 2) Kikwete anapenda watu ambao hawajamzidi kumfikiri (not very smart) 3) wanachama wa CCM walio safi/wazalendo wengi wao hawajapewa nafasi zozote za uongozi, so mpaka kuja kutambulika una-exist ni kazi saana etc. Kwa uwezo wakufikiri wa rais wetu lazima atafanya recycling tu. Akienda mbali sana atachukua wale wa awamu zilizopita akina Meghji.Lakini bado naamini kuwajibika kwa mawaziri ni hatua nzuri whether wamekuwa-pressured or not.
 
tayari ndio wanajivua live hapa.......maskini
ni kawaida yao mimi naona haitakuwa na maana endapo hawatarudisha iyo chapaa itakuwa tumewapenda sana hawa jamaa dawa ni wafunguliwe mashtaka ya nguvu tena si mchezo kuiba mali ya watanzania haiwezi ikaisha kwa kikao cha magamba huo ni uhni na ni dhambi kubwa sana na mheshimiwa baba riz tambua katika chama chako una wanafiki wengi kuliko watenda kazi na wameiga hii tabia kutoka kwako mkubwa kwaiyo cha kulaumu huna najua bwana lowassa saivi tabasamu ni zito na bashasha litaongezeka ivi karibuni ingawa na yeye ni pigo kwa taifa sasa basi tutachua madaraka maana nchi imewashinda nyie safi na mjue watanzania tumewachoka mno
 
kwahiya mpango wa sahini sabini ndio umekufa?kwahiyo pinda bado tunaye?dah!
 
Press conference ya ministers kujiuzulu inaendelea

Source Zitto twitter account
 
Tonge lako, langu na la mwingine yeyote halitegemei uhodari wako wangu au wa yeyote yule. Huna uwezo wa kumpa au kumtoa mtu tonge, hata wa kujipa mwenyewe huna. Siku mwenye kutoa tonge akisitisha utoaji wake hata uingizwe kwa mirija haipiti. Wacha upunguani.
??????????????????
 
Kutokana na Breaking News ya Radio One, inasemekana mawaziri 8 wamejiuzulu,.....bado hawajafahamika
 
Infact huu ndio mzizi wenyewe. Sidhani kama JK anaweza kuapisha mawaziri safi, wasio na scandal yeyote kutokana na sababu zifuatazo 1)kupata uwaziri lazima uwe mshkaji wa Kikwete au mtu wa ndio mzee 2) Kikwete anapenda watu ambao hawajamzidi kumfikiri (not very smart) 3) wanachama wa CCM walio safi/wazalendo wengi wao hawajapewa nafasi zozote za uongozi, so mpaka kuja kutambulika una-exist ni kazi saana etc. Kwa uwezo wakufikiri wa rais wetu lazima atafanya recycling tu. Akienda mbali sana atachukua wale wa awamu zilizopita akina Meghji.Lakini bado naamini kuwajibika kwa mawaziri ni hatua nzuri whether wamekuwa-pressured or not.
ni kweli kabisa ila kaka si wezi hao bado hawajawajibika hapa dawa ni kuingia mtaani washtakiwe wakikataa tunawapa adhabu wenyewe huu ni uhuni usio na kipimo asee uibe then ujiuzulu ukale ele yetu we na mkeo mi sikubali hata kama msiponiunga mkno
 
Watanzania wenzangu, tatizo la nchi hii linasababishwa na watu 2.
Mtu wa kwanza ni rais mwenye. Kuna mambo ambayo yanampasa yeye kama president kuyafanyia maamuzi, lakini anakua kimya, mwisho wa siku ndio tunafika hapa tulipo.
Mtu wa pili ni pinda. Yeye kama PM, ilimpasa kuwa firm, lkn amekuwa legelege zaidi ya JK. Pinda amekuwa rabish kabisa, yani utafikili ni msukule vile.
 
mchana kaanza Sitta, baadae 4, ikaja 7 sasa 8 kesho serikali nzima
 
Breaking NWZ bado inaendelea Emmanuel Buhohela bado hajathibitisha anadai waandishi ni wengi sana hapo viwanja vya bunge usiku huu wa saa 4.30
 
Back
Top Bottom