Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Nilitegemea jina la waziri mkuu litakuwemo kwa walio jiuzulu!
hapa kuna kamchezo, wanataka kutuziba macho ili tusahau kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu hapa,
huu ni muendelezo wa ile commedy!
 
anasema wamarekani wanataka awe rais wa tz.........hahahaha huyu jamaa yaani haachii utapeli

Huwa simwelewagi kabisa...
Msamaha wa Kodi miaka 10..
Ni yey alisimamia hyo hoja ikapita, leo ripoti ya mkaguzi inaonyesha kuwa 2napoteza zaidi ya Trilinin 1..
 
Bora uchafu wote ndan ya chama chetu umalizike mapema ili imani wananchi waliyo nayo juu ya CCM iendelee kuwepo.



hamia chadema laazizi wangu Rejao!! ccm kwishne

hakuna aliye msafi katika hiyo system iliyooza

nakusubiri kadi 1500 tu!
 
Bora uchafu wote ndan ya chama chetu umalizike mapema ili imani wananchi waliyo nayo juu ya CCM iendelee kuwepo.

kama ulijua kuwa kuna uchafu huwa unatetea nini?au unafuata upepo Rejao?
 
- Waliitwa kwenye kamati ya Uongozi chini ya Waziri Mkuu, wakaambiwa wajiondoe wenyewe, wakajifanya kulia lia kwamba inaonekana vibaya, lakini msimamo ni ule ule lazima waondoke na wamekubali, wanajaribu kulia lia huko kokus waonewe huruma lakini hakuna!, stay tuned!

ES!
 
Bora uchafu wote ndan ya chama chetu umalizike mapema ili imani wananchi waliyo nayo juu ya CCM iendelee kuwepo.

Imani ipi hiyo? Haipo tena unaota na kujipa matumaini ya bure Rejao.
 
Last edited by a moderator:
Nilitegemea jina la waziri mkuu litakuwemo kwa walio jiuzulu!
hapa kuna kamchezo, wanataka kutuziba macho ili tusahau kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu hapa,
huu ni muendelezo wa ile commedy!

Kuna mchezo fulani wa kuigiza wanataka kuufanya hapa ... wajiuuzulu mawaziri ... ili kumuepusha PM kuigia kwenye kuodolewa madarakani ... will this work?
 
Wanatapatapa ccm,hawana mikakati tena,choka mbaya
 
Hayo mawazo nilikuwa nayo jana Mkuu.
Nilivyomwona anahutubia roho iliniambia anatakiwa akapinduliwe akiwa huko huko.
Bahati mbaya Jk kakumbatia Majenerali wa jeshi, they r too loyal to him!
Hivi hatuna makapten wa jeshi waliomakini na wenye uchugu wa nchi hii kama Sanogo wa Mali?. JK na yeye alitakiwa abaki hukohuko Sao Paulo Brazil, mpaka hapo tutakapoweka sawa mambo ya nchi yetu. Mimi naona bado we are beating around the bush, the snake is still hanging out in Sao Paulo
 
- Waliitwa kwenye kamati ya Uongozi chini ya Waziri Mkuu, wakaambiwa wajiondoe wenyewe, wakajifanya kulia lia kwamba inaonekana vibaya, lakini msimamo ni ule ule lazima waondoke na wamekubali, wanajaribu kulia lia huko kokus waonewe huruma lakini hakuna!, stay tuned!

ES!

Waliitwa lini? Kwani Mkulo yuko nchi hii? Si yuko Washington anaandaa bajeti?
 
- Waliitwa kwenye kamati ya Uongozi chini ya Waziri Mkuu, wakaambiwa wajiondoe wenyewe, wakajifanya kulia lia kwamba inaonekana vibaya, lakini msimamo ni ule ule lazima waondoke na wamekubali, wanajaribu kulia lia huko kokus waonewe huruma lakini hakuna!, stay tuned!

ES!

Kamati ya uongozi ya bunge?
 
jamani hii ni tetesi sina uhakika nazo kadri mda unavyoenda ndio tutaendelea kuwahabarisha msimeze . ni tetesi kama ni embe litajulikana tu

Kama ni hivyo kwanini hujaiweka kwenye jukwaa stahiki la udaku?

Na nyinyi moderators, mleta mada anakiri kuwa "hii ni tetesi" na ninyi bado mnaiwacha kwenye jukwaa la siasa, vipi? mmelala usingizi mzito au uchadema unawasuta?
 
Back
Top Bottom