Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

jamani hii ni tetesi sina uhakika nazo kadri mda unavyoenda ndio tutaendelea kuwahabarisha msimeze . ni tetesi kama ni embe litajulikana tu

hata mponda kwenye sakata la doctaz tuliambiwa kajiuzulu!
 
Waliitwa lini? Kwani Mkulo yuko nchi hii? Si yuko Washington anaandaa bajeti?

huyu unaweza kumuita ndani ya masaa 14 anakuwa ameshafika.....anawasalimia na kuwatakiwa kila la kheri katika kulipigania taifa sana
 
Wana Jf vuteni subira, muda si mrefu mtapata majibu ya uhakika, watu wetu waliokuwa kwenye kikao cha magamba simu zao zipo off, inaelekea bado wapo busy na kikao
 
huyu unaweza kumuita ndani ya masaa 14 anakuwa ameshafika.....anawasalimia na kuwatakiwa kila la kheri katika kulipigania taifa sana

Haahahahaa. Mkuu hapa tunachezewa akili tuu.
Hakuna kitu hapa. Hata kama wakijiuzulu saba matatizo yatakuwa pale pale.
Utaona watu kesho wataamka wepesiiiii. Kisa mawaziri sijui saba wamejiuzulu
The whole system imeoza. Hakuna kitu hapa.
 
Ngoja tusubiri nasikia kuwa wameitisha press conference. Wenye data kamili walete
 
As for me list ya kujiuzuru ingekuwa hivi.
1. Ngeleja. 2. Kawambwa. 3. Hawa Ghasia 4. Sophia Simba. 5. Mkulo. 6. Nundu 7. Mponda. 8. Lukuvi. 9. Mkuchika. At least roho yangu ingesuuzika. But hao wa 4 haitoshi.
 
Ningetamani pia wachunguzwe na ikionekana wameshiriki hujuma yoyote, kwa niia yoyote, kama walijakuwa na nia ovu yoyote, washitakiwe Mahakamani.
Kumbe malamiko ya Mzee Sitta ni kweli.
 
Kikwete.jpg

Tatizo ni huyu hapa, tutabadisha sana mawaziri tatizo linabaki palepale.
 
mimi kama mwanananchi wa kawaida nafurahi kiasi fulani kwa wao kujiuzulu na inaonesha ni kwa jinsi gani wamejua makosa yao sasa kifuatacho ni kufungwa tu ndio nitajua demokrasia ipo la sivyo tutawapiga mawe huku mtaanu hatutaki ujinga sisi na ninawaambia watanzania wenzangu tukizidi kuwachekea hawa ccm watatuzoea na kujifanya wamejiuzulu huku wameshiba kila siku huu ni uhuni mbunge yoyote na mwananchi wa kawaida hawa watu wasipofungwa tuwape adhabu wenyewe samahani kama nimetumia maneno makali ila nimechoka kuvumilia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom