Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Lazima kieleweke na waswekwe kolokoroni kwa kutumia madaraka vibaya
 
As for me list ya kujiuzuru ingekuwa hivi.
1. Ngeleja. 2. Kawambwa. 3. Hawa Ghasia 4. Sophia Simba. 5. Mkulo. 6. Nundu 7. Mponda. 8. Lukuvi. 9. Mkuchika. At least roho yangu ingesuuzika. But hao wa 4 haitoshi.

Ngeleja anakula Bata tu!
 
huko kanda ya ziwa lema na slaa wanavuna kinyama....bungeni chadema inasababisha anguko la genge la wezi...
 
Kikwete atakuwa amefanikiwa katika hili, maana ilikuwa inamuwia vigumu sana kuwapiga chini, Hii inatokana na jinsi na watu waliowaleta kwa kikwete ili wapewe uwaziri kama fadhila ya michango yao katika ushindi wa wake,
 
jf sehemu nzuri ya kufurahia ukiwa na mawazo ...teeheteeh
 
wewe nawe hueleweki nimekuuliza mengi kama yapi huwezi kufafanua


huyu achana nae kule twitte nimemuuliza swali akala kona...asubuhi wakati wabunge wanaweka sahihi alisifu kweli..jioni makinda alipopindisha kanuni huyu jamaa akaponda kweli uamzi wa zitto
 
uliwaajiri wewe hata uwe na confirmation?

hutaki acha.sasa kama hujui kuwa mawaziri wanaajiriwa na nani kuna umuhimu gani wa kuendelea kubishana na wewe? Ndio unanyan'ganywa tonge mdomoni hivyo aliyekuambia ufanye madudu ni nani?
 
huyu achana nae kule twitte nimemuuliza swali akala kona...asubuhi wakati wabunge wanaweka sahihi alisifu kweli..jioni makinda alipopindisha kanuni huyu jamaa akaponda kweli uamzi wa zitto

nimemuona sana kule hata mimi alinikimbia kule twitter..ok ngoja tumpotezee
 
waheshimiwa embu tujaribu kuwa wazi ivi tatizo haswa mfano watoto wakiwa wahuni katika familia utamlaumu nani? hili lipo wazi kabisa mheshimiwa wao huyo aliesafiri ndie anaetumaliza na ninaamini atakimbia nchi na kukataa kuwa rais sababu kila mtu atamkimbia na kumkana hakuna mvumilivu wa haya kama atakuwa na akili nzuri ukkimuona mtu anashabikia wizi ujue uyo hajui adhabu yake,, watanzania wenzangu tunaelekea pabay sana asee tufunge mikanda tuokoe watanzania wa kesho ndugu zangu
 
Taifa limesogelea ukombozi,upepo wa mageuzi unafanya magamba yanaweweseka,M4C Peooopleeessssssss!
 
M4C Forever!! hata akitoka nani, movements continues!!
 
Kwenye twitter ya Zitto..

Zitto Zuberi Kabwe ‏ @zittokabwe
  • Press conference ya ministers kujiuzulu inaendelea..






 

Similar Discussions

Back
Top Bottom