Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Gazeti la Sani laandika kwamba Mawaziri wawili, Sophia Simba, na Shamsa Mwanguga wamekutwa gesti ya Mikumi Inn, Magomeni, Jumapili iliyopita.
Wamepiga picha ya magari yao, STK 4472, na T274AOD.
Ulikuwa ni mkutano wa akina mama tisa au kumi, wakiongozwa na hawa Mawaziri wawili. Haijulikani walikuwa wanaongea nini. Ni mkutano ambao ulianza saa tano asubuhi mpaka saa moja jioni.
Ilikuwa tu ni kikao cha siri. Walionekana wakiwa na mafaili mengi. Hakuna habari zozote kama walikuwepo pale kujirusha,ingawa walionekana wananchi wengi wengine,wakiwa katika pilika za kujirusha,kama kawaida ya Guest house,lakini hii haikuwasumbua hawa akina mama.
Mwandishi wa habari zile ameshangaa sana kwamba hawa Mawaziri hawakwenda kufanya mazungumzo,pahali ambapo ni more salubrious.
Wamepiga picha ya magari yao, STK 4472, na T274AOD.
Ulikuwa ni mkutano wa akina mama tisa au kumi, wakiongozwa na hawa Mawaziri wawili. Haijulikani walikuwa wanaongea nini. Ni mkutano ambao ulianza saa tano asubuhi mpaka saa moja jioni.
Ilikuwa tu ni kikao cha siri. Walionekana wakiwa na mafaili mengi. Hakuna habari zozote kama walikuwepo pale kujirusha,ingawa walionekana wananchi wengi wengine,wakiwa katika pilika za kujirusha,kama kawaida ya Guest house,lakini hii haikuwasumbua hawa akina mama.
Mwandishi wa habari zile ameshangaa sana kwamba hawa Mawaziri hawakwenda kufanya mazungumzo,pahali ambapo ni more salubrious.