Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,103
- 136,758
sio LINCHI, it is a common law practice, Matangazo kwa mawakili hayaruhusiwi, nadhani umeona madhara ya matangazo kama hili la huyu aliyekosa busara, kwamba kuna mawakili afadhali na wenye njaa, na kawataja wenye afadhali...ni kosa kisheria kupigia chapuo wakili ili upate chochote, tena nila kijinai....
Common practice wapi? Toka lini matangazo yakawa na madhara kama yanafuata taratibu? Mbona huko kwenye nchi zilizoendelea na tuliko iga wanaruhusu kutangaza huduma? Wao ni wajinga?
Nijibu hili swali; bila kuwa na uhuru wa kutangaza huduma zao, watu watajuaje kama huduma wanazozitaka zinatolewa na mtu fulani?
Halafu, baada ya kunijibu hilo swali, naomba unipe maoni yako kuhusu hii about-turn kwenye hii habari iliyochapishwa tarehe 28 June, 2014 ambayo inasema kwamba mawakili sasa ni rukhsa kutangaza huduma wanazozitoa.
Tanzanian lawyers can now advertise their services, after a review of their rules - a move likely to increase competition in the country's legal sector.
Tanzanian lawyers can now advertise their services, after a review of their rules - a move likely to increase competition in the country's legal sector.
"An advocate may advertise legal services to the general public, subject to the regulations and rules of the Society on such matters," says rule 128.
Source