Mawakili Mwanza njaa kali

Mawakili Mwanza njaa kali

Hujajenga hoja,hujaeleweka unachotaka kusema,umekurupuka kupost,take your time to edit son,labda utaeleweka. We ukisoma unajielewa kweli..?
Ulitaka kumaanisha hiyo laki moja ni kubwa ama? Get exposure dude, njoo hata hapa mjini ukaulize wanaocharge interms of dollars af useme wana njaa kama hata mwehu atakuelewa.
Na wana njaa kivip..? Soko gani...wanauza nini..?
Lawyers do provide service my friend which is the spirit of the profession kama ulikuwa hujui. Ulichokiandika hakieleweki,labda umejielewa mwenyewe tu, ujumbe wako haubebi content ya kusapoti tittle yako. Uandishi mbovu, hata majina ya watu na mahali pia yanakushinda kuandika..?
jitahidi kuimprove.
Also remember,before u bring allegations,especially against lawyers make sure u can prove them.

Mbona umekuwa mkali? Kwani kuwa na njaa ni aibu/ajabu? Kwani mawakili are immune to njaa? Njaa iko kila mahali hata huko TRA, BOT etc ambako wanasema kuna maziwa na asali, si wote wana position ya kunywa maziwa hayo! Be cool, na kwa vile graduates wa sheria wanazidi kumwagwa mitaani, kutakuwa na saturation and consequently advocate fee itashuka, wateja watagawanwa baina yenu and the professionally weak will perish! Kwenye utafiti wanasema: You publish or perish!
 
unahamu ya kuchora saba utubinulie mas bur i yako kenge wewe kum kum kum kum mam mam mam mak dah nina kigugumizi

washakuaribu nyuma huko na ndo mchezo wako ndomaana unaona maisha sawa, unakigugumizi cz umeingiziwa hapo....
 
Mkuu pasco na chuakachara afadhali mmekuja kuutia afya huu mjadala conservatism is imekuwa embraced by few lawyers and my advice wawe tayari kujifunza na kuwa na performance review and lastly to look for morden ways to penetrate the market in east africa wasitarajie serikali itawabeba dhidi ya ushindani
 
Mletaa mada nazani haelewi anachozungumza...kivyovyote vile mawakili wawe NA njaa au wakae kwenye office za uchochoron still their in noble profession a.k.a wasomi.. hutaki ni wewe...
 
sio LINCHI, it is a common law practice, Matangazo kwa mawakili hayaruhusiwi, nadhani umeona madhara ya matangazo kama hili la huyu aliyekosa busara, kwamba kuna mawakili afadhali na wenye njaa, na kawataja wenye afadhali...ni kosa kisheria kupigia chapuo wakili ili upate chochote, tena nila kijinai....

kumbe sheria kama auditing,hakuna kujipigia debe.
 
mletaa mada nazani haelewi anachozungumza...kivyovyote vile mawakili wawe na njaa au wakae kwenye office za uchochoron still their in nobble proffession a.k.a wasomi.. Hutaki ni wewe...

yes ni kama mshumaa unaungua lakini unajisifu hata noble hujui kuiandika you are a kind of lawyer we have unaandaa mkataba unatumia neno ndivyo sivyo unaharibu meaning
 
washakuaribu nyuma huko na ndo mchezo wako ndomaana unaona maisha sawa, unakigugumizi cz umeingiziwa hapo....

kama wewe ni lawyer basi utakuwa unaandikia mikataba machangudoa na wateja wao kabla hawajaingia vyumbani
 
mbona umekuwa mkali? Kwani kuwa na njaa ni aibu/ajabu? Kwani mawakili are immune to njaa? Njaa iko kila mahali hata huko tra, bot etc ambako wanasema kuna maziwa na asali, si wote wana position ya kunywa maziwa hayo! Be cool, na kwa vile graduates wa sheria wanazidi kumwagwa mitaani, kutakuwa na saturation and consequently advocate fee itashuka, wateja watagawanwa baina yenu and the professionally weak will perish! Kwenye utafiti wanasema: You publish or perish!

mkuu mawakili wa mwanza wakali kama pilipili but they must accept changes taking into account of their geographical location and the strange thing makampuni mengi yanatoa lawyers dar na arusha mpaka mwanza wakati wao wapo hapo
 
Mbona wana wanapiga bingo fresh tu, we unaongelea law firm ipi? hapo mwanza
 
Hujajenga hoja,hujaeleweka unachotaka kusema,umekurupuka kupost,take your time to edit son,labda utaeleweka. We ukisoma unajielewa kweli..?
Ulitaka kumaanisha hiyo laki moja ni kubwa ama? Get exposure dude, njoo hata hapa mjini ukaulize wanaocharge interms of dollars af useme wana njaa kama hata mwehu atakuelewa.
Na wana njaa kivip..? Soko gani...wanauza nini..?
Lawyers do provide service my friend which is the spirit of the profession kama ulikuwa hujui. Ulichokiandika hakieleweki,labda umejielewa mwenyewe tu, ujumbe wako haubebi content ya kusapoti tittle yako. Uandishi mbovu, hata majina ya watu na mahali pia yanakushinda kuandika..?
jitahidi kuimprove.
Also remember,before u bring allegations,especially against lawyers make sure u can prove them.

Kumbe mpo wengi humu JF, tunapoomba mawazo/msaada hapa JF huwa hamjibu katu! Tulishaandika humu kuwa jamani jitokeze mtupe mawazo lakini wapi! Leo mmeguswa mmejitokeza kwa wingi kama hamna akili nzuri!
 
kumbe mpo wengi humu jf, tunapoomba mawazo/msaada hapa jf huwa hamjibu katu! Tulishaandika humu kuwa jamani jitokeze mtupe mawazo lakini wapi! Leo mmeguswa mmejitokeza kwa wingi kama hamna akili nzuri!

teh teh mkuu hata mimi nimeshangaa nahisi zaidi ya wanasheria thelasini wamenishambulia hapa
 
Mkuu Bwanchu2, umeuliza swali la msingi sana, na sio Lawyers tuu wasioruhusiwa kujitangaza, bali hata madaktari, wahadhiri, maprofesa, hospitali, huduma za tiba, "madawa ya moto", mfano matangazo yote ya madawa utakayoyaona ni matangazo ya madawa baridi ambayo yanaweza kuuzwa duko lolote hata kwa Mangi au dukawala na sio medicine!.

Shukrani sana Pasco kwa kuona umuhimu wa swali langu na kujitahidi kueleza sababu kwa kadri ya uwezo wako. Binafsi naona kwa kweli hayo makatazo yamepitwa na wakati na ninaamini kabisa hakuna ubaya wowote ule kwa wakili, daktari, au mwingine yeyote yule kutangaza huduma anazotoa ili mradi wanafuata muongozo ambao utawalazimisha au utawafanya wasiseme uongo kwenye matangazo yao.

Tunaona kwenye nchi za wengine mawakili wakiwa wanatangaza huduma zao kwenye matangazo ya biashara kwa kuweka ama kanusho (disclaimer) au angalizo kuwa kila kesi ni tofauti na matokeo yanaweza yasilingane baina ya kesi na kesi. Kwangu kufanya hivyo ni uwajibikaji

Kwa kufanya hivyo kunakuwa hakuna ubaya wowote maana tayari wanakuwa wameshaji-CYA (Cover Your Ass). Hata katika matangazo mengine tu ya biashara nayo huwa na miongozo yake, hususan katika nchi zilizoendelea, na mtu hawezi tu kutengeneza tangazo linalosema uongo. Kuna biashara nyingi tu ambazo zimewahi kushitakiwa kwa kosa la kutangaza uongo.


Tanzania tunafuata mfumo wa sheria wa common law wa Uingereza aomba tuliokopy neno kwa neno (pari matiriale), toka sheria za India. Yaani ile siku Wajerumani wamenyanganywa koloni lao la Tanganyika na kupewa Waingereza, there was no time kutunga sheria yoyote, kilichofanyika ni kuzichukua sheria za India, neno kwa neno na kuzifanya ndizo sheria za Tanganyika!.

Mambo ya monkey see, monkey do hayo! Kaazi kweli kweli.

Lengo la kuzuia matangazo huduma za uwakili, udaktari na madawa ni kuepusha watu kufuata huduma fulani kwa influence ya Tangazo, mfano Mimi nijitangaze PPR is Best Legal Firm for Criminal Cases, then mtu akaja PPR Law Firm kwa matumaini ya kupata the best services kama tulivyojinadi, akishindwa kesi, atajihisi alidanganywa!.

Lengo la kutangaza wala si baya. Lengo la kutangaza ni kutanabahisha umma kuwa unatoa huduma kadha wa kadha. Na kama mtu akitumia lugha ambayo si subjective au isiyo huru kutafisirika kwa namna nyingi, basi hayo mengine ni rahisi sana kuepukika.

Mambo ya kusema sijui 'mimi ni the best lawyer in town' na blah blah kama hizo, ni mambo ya opinion. Na kwenye matangazo, kama kuna miongozo iliyo thabiti basi lugha au maneno ambayo yako opinion-oriented yanakatazwa. Manake ukisema wewe ni 'the best lawyer in town' when it comes to criminal cases, hiyo ni opinion yako. Mwingine anaweza kuwa na mtazamo tofauti kabisa.

Lakini ukisema wewe ni wakili mwenye tajiriba ya miaka 30 kwenye mambo ya kesi za jinai, na unapatikana sehemu fulani, sioni opinion yoyote hapo maana, kama kweli umeanza shughuli zako za uwakili miaka 30 iliyopita, basi kilichopo kwenye tangazo ni cha ukweli. Na kama unapatikana mtaa wa Makunganya na kweli ofisi zako zipo mtaa huo, hicho nacho ni ukweli vilevile. Na ukitoa namba ambayo wateja wanaweza kuipiga kuwasiliana na ofisi yako na hiyo namba kweli ni ya ofisi yako, huo nao ni ukweli.

Sasa, hapo utaona kabisa kuwa kilichotangazwa ni taarifa za ukweli, hakuna chumvi wala binzari. Ila, kama mtu mwenyewe baada ya kuona kuona kwenye tangazo kuwa una tajiriba ya miaka 30 halafu aka-infer yeye mwenyewe kuwa utakuwa na tajiriba ya kutosha na hivyo labda uwezekano wa yeye kushinda anachokitaka akija kupata huduma kwako, basi hilo litakuwa hitimisho lake yeye based on your facts.

Kwa mfano, kama mimi ni lawyer na nimebobea zaidi kwenye mambo ya kifamilia (talaka, matunzo ya watoto, na kadhalika), sioni ubaya kama nikitangaza huduma ninazotoa bila kutia chumvi na kama mteja anataka kujua rekodi yangu na mengineyo kama hayo, basi tutazungumza akija ofisini au popote pale tutakapokutana.

Kwa hiyo nadhani lengo linakuwa baya tu pale ambapo kunakuwa hakuna udhibiti wowote wa matangazo kama hayo hususan kama watu wataachiwa waweke kila aina ya chumvi kwenye hayo matangazo. Lakini kama ni matangazo yaliyo basic tu yenye lengo la kutanabahisha umma, sioni ni kivipi yanaweza kushawishi watu watu wafuate huduma fulani wakiwa na matumaini hewa waliyoyapata kutoka kwenye tangazo.

Lengo ni ni kwa huduma za kisheria, hospitali na madawa kujitangaza kwa results oriented matangazo. mfano Wakili Murtaza Lakha alivyotetea kesi nyingi za mader na kushinda, ndie alihesabika wakili best number 1 Tanzania na kupewa utetezi wa watuhumiwa number 1 na 2 kwenye kesi ya Uhaini ya kina Macghee.

Sasa kama lengo ni huduma zijitangaze kwa matokeo yake, umma utajuaje sasa kama mtu ana rekodi ya ushindi katika kila kesi anayoisimamia au kuitetea? Watu tutajuaje kama wewe hujawahi kushinda kesi hata moja?

Hata hivyo huko India sheria hiyo ya kutojitangaza iliishafanyiwa marekebisho kitambo, sasahivi legal firms zinajitangaza vizuri tuu haswa baada ya ujio wa Utandawazi

I wonder why that is......?

Pia yale matangazo ya Ofisi za Mawakili siku hizi ni matangazo tosha, Mijengo ya Ofisi za Mawakili ni matangazo tosha!, website zao, blogs zao, na wengine wana collude na media hivyo cases zao kupewa limelight!.

Hivyo vibao vinavyoonyesha hapa ni ofisi ya uwakili wa fulani havina reach kubwa. Kwanza hizo ni signage tu zinazotambulisha kuwa hii ni ofisi ya kitu fulani. Havina kabisa tofauti na kibao cha shirika la chakula na lishe pale mtaa wa Ocean Road (sijui ndo unaitwa Obama siku hizi)

Mfumo mzuri wa matangazo ni mabango ya kueleza wanatoa huduma gani?, au specific law firm ime team up na kina nani, huko yale statutory matangazo ya magazeti wakiyalipia up to full page!.

Mfumo mzuri wa matangazo ni, kwanza waruhusu watu watangaze huduma zao, halafu ndiyo wapanue wigo. Kwa wenzetu huko majuu, kwa mfano, watu hununua hata space kwenye mabasi ya abiria ya umma na kuweka matangazo yao ubavuni mwa basi, treni, na kadhalika.

Hata kwenye TV watu hutangaza pia. Kwenye redio nako hivyo hivyo. Na kwa kufanya hivyo wanakuwa wanafikia watu wengi zaidi.
 
Hawa wataalamu wa sheria mwanza wana njaa kali ya kupitiliza kutokana na soko kuwa gumu na hii inafanya mawakili hawa kuwa na maisha ya shida na anaweza kupokea instruction fee ya laki moja hapa ondoa wachache kama galati imma na mutalemwa na hali inakuwa mbaya kwa young advocates lastly ni vigumu kukuta wana ofisi za ukubwa wa kutosha its very sad indeed
Uandishi huu! Hakuna nukta wala mkato wala nini. Maneno yanatiririshwa tu mpaka yanajaza paragraph! Agghhh!
 
Mkuu Bwanchu2, umeuliza swali la msingi sana, na sio Lawyers tuu wasioruhusiwa kujitangaza, bali hata madaktari, wahadhiri, maprofesa, hospitali, huduma za tiba, "madawa ya moto", mfano matangazo yote ya madawa utakayoyaona ni matangazo ya madawa baridi ambayo yanaweza kuuzwa duko lolote hata kwa Mangi au dukawala na sio medicine!.

Tanzania tunafuata mfumo wa sheria wa common law wa Uingereza aomba tuliokopy neno kwa neno (pari matiriale), toka sheria za India. Yaani ile siku Wajerumani wamenyanganywa koloni lao la Tanganyika na kupewa Waingereza, there was no time kutunga sheria yoyote, kilichofanyika ni kuzichukua sheria za India, neno kwa neno na kuzifanya ndizo sheria za Tanganyika!.

Lengo la kuzuia matangazo huduma za uwakili, udaktari na madawa ni kuepusha watu kufuata huduma fulani kwa influence ya Tangazo, mfano Mimi nijitangaze PPR is Best Legal Firm for Criminal Cases, then mtu akaja PPR Law Firm kwa matumaini ya kupata the best services kama tulivyojinadi, akishindwa kesi, atajihisi alidanganywa!.

Lengo ni ni kwa huduma za kisheria, hospitali na madawa kujitangaza kwa results oriented matangazo. mfano Wakili Murtaza Lakha alivyotetea kesi nyingi za mader na kushinda, ndie alihesabika wakili best number 1 Tanzania na kupewa utetezi wa watuhumiwa number 1 na 2 kwenye kesi ya Uhaini ya kina Macghee.

Hata hivyo huko India sheria hiyo ya kutojitangaza iliishafanyiwa marekebisho kitambo, sasahivi legal firms zinajitangaza vizuri tuu haswa baada ya ujio wa Utandawazi.

Pia yale matangazo ya Ofisi za Mawakili siku hizi ni matangazo tosha, Mijengo ya Ofisi za Mawakili ni matangazo tosha!, website zao, blogs zao, na wengine wana collude na media hivyo cases zao kupewa limelight!.

Mfumo mzuri wa matangazo ni mabango ya kueleza wanatoa huduma gani?, au specific law firm ime team up na kina nani, huko yale statutory matangazo ya magazeti wakiyalipia up to full page!.

Pasco

Sijawahi kujilaumu baada ya kusoma maandishi yako ndugu.

Maandishi murua sana haya pia, muhimu watu wayasome.

Heko pasco!
 
Marekani, nchi iliyopevuka sana kisheria mawakili hutangaza huduma zao kupitia matangazo kama haya.





Hata hospitali nazo hutangaza huduma zao kwenye matangazo ya biashara....





Sasa inakuwaje kwenye nchi kubwa, yenye uchumi mkubwa zaidi duniani, yenye kuongozwa na sheria, ikaruhusu mawakili na mahospitali kutangaza huduma zao kwenye matangazo ya biashara?

Halafu ku-brand huduma ndo nini? Na kuna ubaya, hususan kama watu wanalipia hiyo huduma kwa pesa zao?

Na unasema kizuri kijiuze...well, kitajiuzaje kama hakitangazwi?

hata hapa wameanza kuruhusu lakini kwa masharti hata mawakili wa huko huwa wako restricted kwenye kujitangaza. kwa hospitali nako hivyohivyo. nafikiri umewahi sikia matangazo ya CCBRT lakini sio trauma centre, agakhan wala regency.
 
Last edited by a moderator:
hata hapa wameanza kuruhusu lakini kwa masharti hata mawakili wa huko huwa wako restricted kwenye kujitangaza. kwa hospitali nako hivyohivyo. nafikiri umewahi sikia matangazo ya CCBRT lakini sio trauma centre, agakhan wala regency.

Of course it's not free-for-all advertising. There has to be rules, regulations, and guidelines as it is with many others things.

Tatizo langu ni kutoruhusu kabisa. Kwa nini watu wasiruhusiwe kutangaza huduma wanazozitoa? Ila kama wameanza kuruhusu basi hiyo hatua ya mwelekeo mzuri.

Au unadhani huko kwingine hakuna masharti, miongozo, na taratibu?

Ona hili tangazo la personal injury lawyer huko Atlanta

Neil%20Flit%20Billboard-Article-201404111543.jpg


Halafu soma hii kuhusu rules za legal advertising......

Major Advertiser Likes Changes to Lawyer Ad Rules
Truth in legal advertising is the goal of amendments to Rule 7.2, former bar president says

If you've ever driven next to a MARTA bus in Atlanta, chances are you've seen personal injury lawyer Neil Flit's face.

Flit is an avid advertiser. His slogan-"Been Hit? Call Neil Flit!"-appears on bus ads, billboards, radio, television and Internet banner ads.
"I always believed I should go straight to the public and communicate who I am and not have somebody else represent me," said Flit.

Hiring attractive spokespeople who match the demographic of a particular client base or speak their language may be a good strategy to drum up business, said Flit. But when the actual lawyer who does the work isn't the same person portrayed in the ad, it feels like a bait-and-switch, he said.

"It's misleading [to the client]. Why not show me the real lawyer who is actually going to work for me?" Flit said.

Changes to professional rules regulating legal advertising approved by the Georgia Supreme Court last month suggest the bar agrees with Flit. The court action confirmed a rule change requested by the State Bar of Georgia in 2012.

The changes to Rule 7.2 were meant to strengthen truth in advertising, said Kenneth Shigley, who as bar
president called for the reform as one of his final acts in office.

"The First Amendment protects commercial speech, including lawyer advertising. The bar therefore cannot regulate bad taste, even the horribly atrocious taste we often see in lawyer advertising. However, both federal courts and the FTC have approved reasonable disclosure requirements relevant to consumer choice," Shigley said. "This rule amendment is narrowly tailored to pass constitutional muster with prominent disclosures such as who and where the advertising lawyers really are. The focus is on consumers more than lawyers."

The changes require clear, written disclosures of the identity, physical location and telephone number of the advertising attorney or firm, whether an actor is portraying an attorney or a client and whether the attorney or firm will refer a majority of callers to other attorneys. The revised rule further mandates that any ad including a representation of a pleading, notice or contract would have to make clear that it is an ad and not a legal document. The rule also requires a lawyer or firm advertising a fixed fee for certain services to produce a written statement "clearly describing the scope of each advertised service" for the client at the time of retainer.

The maximum penalty for violating Rule 7.2 is a public reprimand.

The Supreme Court, in ordering the changes, suggested that legal advertising has a duty to accurately inform the public.

"To assist the public in obtaining legal services, lawyers should be allowed to make known their services not only through reputation but also through organized information campaigns in the form of advertising," the high court commented in its March order. "This need [for information] is particularly acute in the case of persons of moderate means who have not made extensive use of legal services. The interest in expanding public information about legal services ought to prevail over considerations of tradition."

Flit said he likes the changes.

"From my standpoint, it won't affect my advertising practices at all. My ugly mug will remain on my advertising," he said. "It may be a bigger deal for my competitors."

Source

Cc: Pasco






 
Last edited by a moderator:
Mawakili vijana mwanza wanajitahidi kuwa na ofisi za kisasa,wazee ndio wagumu kubadilika,wakili wa hadhi ya nasimire alitakiwa awe na legal officer lakini hana,
 
huyo niliyemtaja ofisi yake ni kiuchochoro tu yaani ni ofisi ya chama cha wazoa taka sijui pale karibu na fire ..kaweka meza na viti viwili yaani humo ndani ni giza kama uko kwenye shimo ....

Huyu wakili anayekaa kwenye ofisi za wazoa taka ana matatizo gani?hebu msaidieni kabla hajafika pabaya, tena shimoni maskini,hilo ni shimo kama la pale kariakoo shimoni?
 
hahaaa kuna mmoja anaitwa Nkanda yaani anashinda kwenye mapipa ya komoni ...akija mahakamani ananuka komoni mwanzo mwisho ...

Dah! Huu uzi umenichekesha na kunisikitisha! Mbona ana fani nzuri si angetulia,hayo mapipa ya komoni hayaendani na hadhi yake
 
Back
Top Bottom