Mawakili Mwanza njaa kali

Mawakili Mwanza njaa kali

watu hawa helewi na wabishi sana. kwenye the east african la juni 28 wanaonyesha karibu nchi zote wamelegeza na sio kufuta sheria hiyo mwaka huu. ni mambo ya kiimaadili haya ili kuepuka kubrand huduma, kizuri kijiuze.duniani kote kama unabiashara ya pharmacy au hospitali hutakiwi kutangaza.

Marekani, nchi iliyopevuka sana kisheria mawakili hutangaza huduma zao kupitia matangazo kama haya.





Hata hospitali nazo hutangaza huduma zao kwenye matangazo ya biashara....





Sasa inakuwaje kwenye nchi kubwa, yenye uchumi mkubwa zaidi duniani, yenye kuongozwa na sheria, ikaruhusu mawakili na mahospitali kutangaza huduma zao kwenye matangazo ya biashara?

Halafu ku-brand huduma ndo nini? Na kuna ubaya, hususan kama watu wanalipia hiyo huduma kwa pesa zao?

Na unasema kizuri kijiuze...well, kitajiuzaje kama hakitangazwi?
 
Last edited by a moderator:
...nafikiri huu ujasiri kaupata kwa sababu haujulikani, ila naamini bado unahitaji msaada sana kwa hao unowadhalilisha humu leo, ila ipo siku utawaheshimu.

wajirekebishe wafanane na wa arusha au dar hata ikiwezekana wawapite wateja watawa take serious
 
mwanzo mgumu.....lazima wanaoanza wengi wao ofisi zisiwe kubwa hiyo ni kwa fani zote ....lazima watengeneze majina kwanza .....kwa hiyo hata ada zao lazima ziwe ndogo ili wazoeleke na watu na huku wakiboresha huduma zao....mawakili wengi waliaanza hivyohivyo....
Halafu wote hawawezi kutoa huduma sawa lazima watofautiane hii ni kwa huduma zote .....mteja utaenda kwa mtoa huduma kulingana na mfuko wako unavyoruhusu.....huko ulikoenda ilikuwa ndo saizi yako....ndo maana hata wagojwa kuna wanaotibiwa aga khan,muhimbili, india n.k.....kuna wanaosafiri kwa boda boda, taksi, n.k ....kuna wanaomiliki vitz, rav 4, benz, range, ndege n.k kulingana na vipato vyao.....

kwenye huo mji kuna mawakili wana more than five or ten years lakini still ni one man show yaani one advocate one room na mimi ofisi ya hivyo siwezi kuiamini what if nampa aniandikie mkataba ukaleta tatizo na huyo lawyer my potential witness akahama wakiwa wawili trust ipo
 
marekani, nchi iliyopevuka sana kisheria mawakili hutangaza huduma zao kupitia matangazo kama haya.





hata hospitali nazo hutangaza huduma zao kwenye matangazo ya biashara....





sasa inakuwaje kwenye nchi kubwa, yenye uchumi mkubwa zaidi duniani, yenye kuongozwa na sheria, ikaruhusu mawakili na mahospitali kutangaza huduma zao kwenye matangazo ya biashara?

Halafu ku-brand huduma ndo nini? Na kuna ubaya, hususan kama watu wanalipia hiyo huduma kwa pesa zao?

Na unasema kizuri kijiuze...well, kitajiuzaje kama hakitangazwi?


kiongozi hebu yape shule yamekaa kienyeji sana hayataki kujifunza yanafikiri sheria is equal to ubishi
 
Last edited by a moderator:
kwenye huo mji kuna mawakili wana more than five or ten years lakini still ni one man show yaani one advocate one room na mimi ofisi ya hivyo siwezi kuiamini what if nampa aniandikie mkataba ukaleta tatizo na huyo lawyer my potential witness akahama wakiwa wawili trust ipo

To wash away your worries,ni kuwa law is a profession,being it a profession it have the regulating body(TLS).
Also advocates names are enrolled,every advocate u know is in that Roll.
Their conducts are regulated and they can not just disappear as u simply think,bz that will means the end of their carrier.
So ukiwa kwa wakili feel free,secured,ni kama una deal na government.
Ondoa mashaka kuwa atapotea,sijui atahama ofisi,hiyo haipo kwa mawakili.
Au kama ipo tupatie mfano hai.
Pia ufahamu kuwa wakili sio witness ni notary public/commissioner for oaths(mshuhudiaji)
 
to wash away your worries,ni kuwa law is a profession,being it a profession it have the regulating body(tls).
Also advocates names are enrolled,every advocate u know is in that roll.
Their conducts are regulated and they can not just disappear as u simply think,bz that will means the end of their carrier.
So ukiwa kwa wakili feel free,secured,ni kama una deal na government.
Ondoa mashaka kuwa atapotea,sijui atahama ofisi,hiyo haipo kwa mawakili.
Au kama ipo tupatie mfano hai.
Pia ufahamu kuwa wakili sio witness ni notary public/commissioner for oaths(mshuhudiaji)

mara ngapi mawakili wanatutolea ushahidi kuhusu waliyoyashuhudia tukisaini kwani makampuni nayo si yana register but still one need to go beyond that to create trust
 
kiongozi hebu yape shule yamekaa kienyeji sana hayataki kujifunza yanafikiri sheria is equal to ubishi

Atoe shule gani hapo...?
Can a lay person teach a lawyer laws..?
We have been there for years,then unadhani mtu aliyesoma magazeti na kupitia wavuti anaweza kuwa yupo sahihi zaid ya lawyer..?
Ngoja nijaribu na hii pia,usipoelewa basi una matatizo. Ni kwamba different countries have different legal system, sisi ya kwetu ni common law system.
Ni kweli kuwa tuliichukua system hii toka kwa waingereza lakin mpaka sasa si kila feature iluyopo kwenye system ya uingereza ipo sawa na iliyopo hapa.
Huwezi komalia feature iliyopo uingereza iwe applicable hapa kwetu in the same way,kumbuka kuwa wao ndio chimbuko la system yetu.
Position yao inakuwa merely persuasive.
Kama uingereza ambao ndio chimbuko la mfumo wetu wa sheria ni persuasive unaweza ona kwa kiasi gan hao wengine(kama U.S unayoisema) hawawezi kuwa authority kwetu wala sahihi kuliko sisi.
 
Kuna rafiki yangu kanitumia sms kwamba baadhi yenu hamna kompyuta printer wala photocopy machine mnatembea na makaratasi kila stationery sasa usiri wa kazi uko wapi mtafanya majambazi watuvamie kama tunataka kununua vitu vya thamani na tuna cash coz the contract will be seen out there
 
atoe shule gani hapo...?
Can a lay person teach a lawyer laws..?
We have been there for years,then unadhani mtu aliyesoma magazeti na kupitia wavuti anaweza kuwa yupo sahihi zaid ya lawyer..?
Ngoja nijaribu na hii pia,usipoelewa basi una matatizo. Ni kwamba different countries have different legal system, sisi ya kwetu ni common law system.
Ni kweli kuwa tuliichukua system hii toka kwa waingereza lakin mpaka sasa si kila feature iluyopo kwenye system ya uingereza ipo sawa na iliyopo hapa.
Huwezi komalia feature iliyopo uingereza iwe applicable hapa kwetu in the same way,kumbuka kuwa wao ndio chimbuko la system yetu.
Position yao inakuwa merely persuasive.
Kama uingereza ambao ndio chimbuko la mfumo wetu wa sheria ni persuasive unaweza ona kwa kiasi gan hao wengine(kama u.s unayoisema) hawawezi kuwa authority kwetu wala sahihi kuliko sisi.

prof majimarefu ni darasa la saba bungeni hajasoma lakini ndiye anakutungia sheria anyway thats history bt we can have our system
 
Kuna hoja kwamba hakuna landmark case from mwanza ambayo imesimamiwa na nyie wabishi mpaka court of appeal ikatoka na solid decision and the main reason hamna resources ikiwemo human resource due to one man show kind of bizness
 
Kuna rafiki yangu kanitumia sms kwamba baadhi yenu hamna kompyuta printer wala photocopy machine mnatembea na makaratasi kila stationery sasa usiri wa kazi uko wapi mtafanya majambazi watuvamie kama tunataka kununua vitu vya thamani na tuna cash coz the contract will be seen out there

Ndugu yangu mambo ya muhimu yote nimeshakuambia.
Kama unataka uendelee kujaza uzi wako its well and fine.
It seems like you are busy body. Kufatilia na kuuliza uliza wanafanya nini, wanakula nini. Ngoja nikuongezee ili usiendelee kupata tabu ya kukusanya habari, ni kuwa wengine wanakaa nyumba za kupanga,wanakula kwa mama ntilie,wanaenda mahakaman kwa lifti,na walisoma kwa mkopo.
Haya endelea kusherehekea kuwa wana njaa maana naona ndio lengo lako.
Wanasheria wameenda shule kwa miaka mitatu,minne,mitano na kuendelea wakijifunza vitu mbalimbali,na vya muhimu zaidi ni maadili,ni profession chache sana zenye hizi features,wanaongozwa na vitu vinaitwa code of conduct na kuna chombo kinachosimamia.
Moja ya maadili muhimu kabisa anayofundishwa mwanasheria ni duty of confidentiality.
Na siamini na najua hata wewe pia huamini ila umeandika kwa ushabiki kuwa akienda kutoa copy stationery anakuwa anavujisha mkataba wako.
Labda amsomee huyo mtoa copy ama kumwachia akausome.
 
ndugu yangu mambo ya muhimu yote nimeshakuambia.
Kama unataka uendelee kujaza uzi wako its well and fine.
It seems like you are busy body. Kufatilia na kuuliza uliza wanafanya nini, wanakula nini. Ngoja nikuongezee ili usiendelee kupata tabu ya kukusanya habari, ni kuwa wengine wanakaa nyumba za kupanga,wanakula kwa mama ntilie,wanaenda mahakaman kwa lifti,na walisoma kwa mkopo.
Haya endelea kusherehekea kuwa wana njaa maana naona ndio lengo lako.
Wanasheria wameenda shule kwa miaka mitatu,minne,mitano na kuendelea wakijifunza vitu mbalimbali,na vya muhimu zaidi ni maadili,ni profession chache sana zenye hizi features,wanaongozwa na vitu vinaitwa code of conduct na kuna chombo kinachosimamia.
Moja ya maadili muhimu kabisa anayofundishwa mwanasheria ni duty of confidentiality.
Na siamini na najua hata wewe pia huamini ila umeandika kwa ushabiki kuwa akienda kutoa copy stationery anakuwa anavujisha mkataba wako.
Labda amsomee huyo mtoa copy ama kumwachia akausome.

nimekuelewa
 
prof majimarefu ni darasa la saba bungeni hajasoma lakini ndiye anakutungia sheria anyway thats history bt we can have our system

Looooh...maskini!!
Kwa hiyo huwa unadhani kuwa anayeandaa sheria ni Majimarefu..??
Kweli..??
Umewahi pitia hata sheria moja ukaona kama tu hata form six anaweza akatunga sentensi ya hivyo achia mbali huyo darasa la saba..?!
Kuna wanasheria waliobobea kwenye hilo ndugu,wanaitwa parliamentary draftsman.
Ndio maana hoja yako ni full of assumptions na nasikia nasikia nyingi.
Nasikitika hujui vingi na itanichukua muda mwingi kukuelimisha.
Nilikuambia tulichukua system Uingereza lakini hata sasa bado tuna features nyingi tu zinatofautiana.
Hii ilitokana na kuchukua vitu tu ili kukidhi mahitaji yetu (to suit local circumstances).
Nakushangaa bado wasema we can have our own system while we have it.
 
Hivi kwa nini watu hawaruhusiwi kutangaza huduma wanazotoa?

Rationale ni nini hasa?

Yaani hili linchi linaendesheshwa kijinga sana. Mtu kama unatoa huduma fulani watu watajuaje sasa kama huruhusiwi kuzitangaza?

Ila kwa bahati nzuri hilo katazo litaondolewa kama bado halijaondolewa tayari.
Mkuu Bwanchu2, umeuliza swali la msingi sana, na sio Lawyers tuu wasioruhusiwa kujitangaza, bali hata madaktari, wahadhiri, maprofesa, hospitali, huduma za tiba, "madawa ya moto", mfano matangazo yote ya madawa utakayoyaona ni matangazo ya madawa baridi ambayo yanaweza kuuzwa duko lolote hata kwa Mangi au dukawala na sio medicine!.

Tanzania tunafuata mfumo wa sheria wa common law wa Uingereza aomba tuliokopy neno kwa neno (pari matiriale), toka sheria za India. Yaani ile siku Wajerumani wamenyanganywa koloni lao la Tanganyika na kupewa Waingereza, there was no time kutunga sheria yoyote, kilichofanyika ni kuzichukua sheria za India, neno kwa neno na kuzifanya ndizo sheria za Tanganyika!.

Lengo la kuzuia matangazo huduma za uwakili, udaktari na madawa ni kuepusha watu kufuata huduma fulani kwa influence ya Tangazo, mfano Mimi nijitangaze PPR is Best Legal Firm for Criminal Cases, then mtu akaja PPR Law Firm kwa matumaini ya kupata the best services kama tulivyojinadi, akishindwa kesi, atajihisi alidanganywa!.

Lengo ni ni kwa huduma za kisheria, hospitali na madawa kujitangaza kwa results oriented matangazo. mfano Wakili Murtaza Lakha alivyotetea kesi nyingi za mader na kushinda, ndie alihesabika wakili best number 1 Tanzania na kupewa utetezi wa watuhumiwa number 1 na 2 kwenye kesi ya Uhaini ya kina Macghee.

Hata hivyo huko India sheria hiyo ya kutojitangaza iliishafanyiwa marekebisho kitambo, sasahivi legal firms zinajitangaza vizuri tuu haswa baada ya ujio wa Utandawazi.

Pia yale matangazo ya Ofisi za Mawakili siku hizi ni matangazo tosha, Mijengo ya Ofisi za Mawakili ni matangazo tosha!, website zao, blogs zao, na wengine wana collude na media hivyo cases zao kupewa limelight!.

Mfumo mzuri wa matangazo ni mabango ya kueleza wanatoa huduma gani?, au specific law firm ime team up na kina nani, huko yale statutory matangazo ya magazeti wakiyalipia up to full page!.

Pasco
 
Back
Top Bottom