Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,101
- 136,758
uliitwa hapa au ni genye zako you first class fool
Hahahaa duuh! Classic.
Lakini kweli bana...wewe umefunguka maoni yako kama watu hayakuwapendeza si wairuke tu thread yote.
uliitwa hapa au ni genye zako you first class fool
sio LINCHI, it is a common law practice, Matangazo kwa mawakili hayaruhusiwi, nadhani umeona madhara ya matangazo kama hili la huyu aliyekosa busara, kwamba kuna mawakili afadhali na wenye njaa, na kawataja wenye afadhali...ni kosa kisheria kupigia chapuo wakili ili upate chochote, tena nila kijinai....
Hawa wataalamu wa sheria mwanza wana njaa kali ya kupitiliza kutokana na soko kuwa gumu na hii inafanya mawakili hawa kuwa na maisha ya shida na anaweza kupokea instruction fee ya laki moja hapa ondoa wachache kama galati imma na mutalemwa na hali inakuwa mbaya kwa young advocates lastly ni vigumu kukuta wana ofisi za ukubwa wa kutosha its very sad indeed
sheria imepitishwa sasa hivi ruksa kutangaza
mbona hukwenda ulizozitaja ni za wenye kujiweza mkuu (Galati, Imma), kwanini uwafate hao mawakili "njaa"??mkuu mwanza nilipita tu nikahitaji huduma ya kisheria tumezoea ofisi za mawakili zenye kiwango na good brains ambazo zinatatua issues kwa uhakika
sheria imepitishwa sasa hivi ruksa kutangaza
mbona hukwenda ulizozitaja ni za wenye kujiweza mkuu (galati, imma), kwanini uwafate hao mawakili "njaa"??
#naulizatu #
Hawa wataalamu wa sheria mwanza wana njaa kali ya kupitiliza kutokana na soko kuwa gumu na hii inafanya mawakili hawa kuwa na maisha ya shida na anaweza kupokea instruction fee ya laki moja hapa ondoa wachache kama galati imma na mutalemwa na hali inakuwa mbaya kwa young advocates lastly ni vigumu kukuta wana ofisi za ukubwa wa kutosha its very sad indeed
watanunuaje wakati ukidaiwa 1k unakuja kulialia hapa? acha kujitoa akili wewe kijana.
sasa naelewa kwa nini werema anaita watu kama wewe tumbili ninahisi wewe pia ni ukoo wa tumbili
acha jazba ni ukweli mtupu na nimeuona kwa macho yangu ulie ucheke i dont care
mbona unaandika kama umebanwa mkojo na mlango umegoma kufunguka wote mmejazana hapo ccm mkoa hakuna wakili mwenye good service na marafiki zangu wote walinishauri niende kwa galati mutalemwa au imma maana vimeo kila muda sim
watu hawa helewi na wabishi sana. kwenye the east african la juni 28 wanaonyesha karibu nchi zote wamelegeza na sio kufuta sheria hiyo mwaka huu. ni mambo ya kiimaadili haya ili kuepuka kubrand huduma, kizuri kijiuze.duniani kote kama unabiashara ya pharmacy au hospitali hutakiwi kutangaza.I regret having contributing to your thread......empty head!!!
Hawa wataalamu wa sheria mwanza wana njaa kali ya kupitiliza kutokana na soko kuwa gumu na hii inafanya mawakili hawa kuwa na maisha ya shida na anaweza kupokea instruction fee ya laki moja hapa ondoa wachache kama galati imma na mutalemwa na hali inakuwa mbaya kwa young advocates lastly ni vigumu kukuta wana ofisi za ukubwa wa kutosha its very sad indeed