Mauzauza chumbani...!

Mauzauza chumbani...!

Kweli tunahitaji Mod afanye kazi yake!
Hizi story za kina Shigongo zina bore sana!
Is this even close to reality? What were you thinking to put such a **** here?
ok, mambo iko ivii.Hii imeshatokea huku kisarawe ,ilimtokea jirani yangu Tom.Alichofanya ni kutoka nduki na kuja kutushtua sisi jirani zake,ile tunakwenda kumchek huyo mwanamke tulikuta kanga tu,mwanamke hatukujua amekimbilia wapi.Sisi pia hatukuamini,ila jamaa alisisitiza sana.Mchana tulivyokutana na yule mwanamke tulimbana ila alikataa kata kata kulala kwa mshkaji.Mimi na dhani jamaa alilala na jini,ila iweje jini huyu aache kanga? mnh huku pwani kunamambo
 
ok, mambo iko ivii.Hii imeshatokea huku kisarawe ,ilimtokea jirani yangu Tom.Alichofanya ni kutoka nduki na kuja kutushtua sisi jirani zake,ile tunakwenda kumchek huyo mwanamke tulikuta kanga tu,mwanamke hatukujua amekimbilia wapi.Sisi pia hatukuamini,ila jamaa alisisitiza sana.Mchana tulivyokutana na yule mwanamke tulimbana ila alikataa kata kata kulala kwa mshkaji.Mimi na dhani jamaa alilala na jini,ila iweje jini huyu aache kanga? mnh huku pwani kunamambo
Sasa ulishindwa nini kuandika hivi tangu mwanzo? 'Kama ni kweli' ...kweli kuna mambo!

Mwambie huyo rafiki yako aende akafanye maombi, B'real ametoa ushauri mzuri hapo juu!
 
Sasa ulishindwa nini kuandika hivi tangu mwanzo? 'Kama ni kweli' ...kweli kuna mambo!
Mwambie huyo rafiki yako aende akafanye maombi, B'real ametoa ushauri mzuri hapo juu!
nimeleta kama challenge kwa wanajamvi,je ikikutokea wewe utafanya nini?
 
Unamwambia tuvue makufuli tule vitu live sasa......:cool2::cool2:
 
nimeleta kama challenge kwa wanajamvi,je ikikutokea wewe utafanya nini?
Vichwa vya watu vimebeba mambo mengi ndugu yangu afu wewe wataka wafikirie vitu ambavyo ni vya kusadikika, itawezekana wapi?... Haiwezekani!
 
Vichwa vya watu vimebeba mambo mengi ndugu yangu afu wewe wataka wafikirie vitu ambavyo ni vya kusadikika, itawezekana wapi?... Haiwezekani!
ok,umeshajua ukweli hebu mshahuri mhusika.
 
ok,umeshajua ukweli hebu mshahuri mhusika.
Nimekwambia afanye maombi kwa dini yake manake hicho sio kitu cha kawaida,...bila kumshirikisha mungu hapo ni bure mpendwa!..
 
mpaka kichwa kinauma mie hapa. kweli hayo mambo yanatokea ukiwa umelewa au umerongwa au ndo tuseme jini kakutokea
 
Back
Top Bottom