Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Ntampa makiss na kumrudisha kitandani.
.... unagundua umevaa kufuli tu na si kawaida na jana yake unakumbuka ulilala pekee yako,....Kwa haraka unageuka na unakumbana na mtu kumchunguza vizuri ni mwanamke/mwanaume .....naye pia anakufuli tu
kwa hyo mkuu unatamaan mauzauza hayo yakutokee enhe?aah, kumbe wote mmevaa makufuli yenu, sasa shida iko wapi hapa? ingekuwa kizungumkuti kama mngejikuta mko uchi halafu mambo yako mwake...
kama ulikuwa kichwani mwangu vileeUnamwambia tuvue makufuli tule vitu live sasa......:cool2::cool2: