ametomb.w.a mnaongea nini sasa hapo mkuu?? aanze kusimulia jamaa anayompiga mpini au?? binafsi moyo huo sina!!Kaka polee saana..ila ulifanya kosa kumuamini rafiki yako hadi kwa manzi wako..
[HASHTAG]#kaeni[/HASHTAG] chini muongee na mjue wapi mlikosea..!!
Mungu akupe ujasiri mana hii inauma mno! Mimi ningemwacha wala nisingemshirikisha mtu yeyote!Yes mkuu ndio uamuzi naoenda kuchhkua
Mwanangu pole sana, ila temana naye mungu atakupa mwanamke mwingine atakaye kupenda kwa dhati .Helw wakuu,
Habari za Eid Pili? Kwangu si njema sana baada ya kukutana na something I never expected, its a big blow to me.
Kwa kifupi wakuu, nina mpenz wangu ambaye napendan nae sana, sijawahi kumkosea wala kumkwaza with anything and I always considered our r/ship a healthy one. Hakuna matatizo yeyote kati yetu hata financial issues kiasi flan tumesimama. She is someone I was willing to take a larget step in life (marrying her) sometimes in next year after i've attained.some personal goals I have. Sasa leo kama bahati alinipatia simu yake nimrekebishie whatsapp ilikua inasumbua kuconekt bila kukumbuka ameacha some traces behind. Mimi wakati naifanyia setting simu, curiosity yangu ikanituma niende inbox kwa sms za kawaida... bandugu this is what I found ikabidi nipige na picha kwa simu yangu....View attachment 531363View attachment 531364View attachment 531365
Too bad huyu jamaa anaefanya nae upuuzi ni someone I trust and took as a brother since we were growing up mpaka sasa.tumekua watu wazima. Sijamwambia chochote mpaka sasa am still thinking ni adhabu gani niitoe au uamuzi gani niuchukue kutokana na ufedhuli huu niliofanyiwa. Ngoja nikapate a drink or two kwanza aisee nikae sawa, inauma wakuu acha tuu.
Kisasi uh!!!!mi nakushauri usiachane naye kwanza, maana ukimwacha hapa kati hiyo hali itakuwa mno smooth afu ataendelea na huyo jamaa kwa uhuru zaidi UTAKUJA KUJINYONGA BURE.
Usimwache tena, ongeza mapenzi ya kuigiza kaa naye karibu, usionyeshe dalili yoyote.
Wakati huo...,
1. mtafutie huyo jamaa adhabu inayomstahili, kama alikuwa anajua kuwa huyo ni demu wako afu yeye akaendelea hivo hivo kipimo ni chako
2. tafuta alternative yake kwanza. hata kama ni temporary.
3. mfukuze huyo, kwa kumshusha heshima, kipimo ni chako.
make sure baada ya kuachana naye haendelei tena na huyo jamaa, narudia tena make sure haendelei tena na huyo jamaa kwa afya yako.
Endelea na maisha yako. hakustahili wewe.
Mkuu kula like ya nguvuUnaumia sana,una maumivu ambayo yanakufanya ufikirie mbalii sana,unafikiria labda wewe una tatizo au labda humkidhi haja zake,au kuna something ana kimiss kwako,bt kiukwel unaumia,,pole sana..
Sasa wewe mwenyewe hujui cha kufanya bt je ushauri upi haswa unaotaka kutoka hapa jukwaani??? Je unataka kusikia unachokiwaza wewe kuhusu kumwacha au unataka tukupe ushauri kwa jinsi tunavyoona wanajamvi?
Kama mm ingekua ni wewe,kwanza ningeumia kias ila sio sana,na ningemshukur Mungu kwa kinifunulia nisilokua najua,na pia ningejitahid kukaa kimya kwa siku nzima bila kuchukua uamuz wwte,then natafuta muda mzr wa kupanga apointment ya jamaa,demu wako na km jamaa ana mke unamwambia aje nae kabisa,na ndugu yako anaemfaham shemej yke vzr,,mnakaa mnaandaa chakula na vinywaji,mnapoanza kula tu,unatoa ushahid wte hadharan,halaf unawaambia kila kitu,nimewasamehen na kuanzia leo we mwanamke mapenz yetu yamefika mwsho,na wewe brother nmekusamehe ila mungu atanilipia,then unasema haya tuendelee kula. Ila hakikisha kwamba unaacha kwel kwel,na uache kwa tabasam bila kuonyesha chuki,then baada ya mwez uone km hawajakonda...na kitakachowakuta wataomba pooo
Upendo gani huo wa kuzimu, ampige chini kwa usalama wake, huyo atamletea ukimwiMNAPENDANA?
UNAJIDANGANYA.
Mkuu pole sana
Mim naona ata usiongee nae mkianza bishana apo atakuchimbulia usioyajua ukafa bure
HahahahaMNAPENDANA?
UNAJIDANGANYA.
Unaumia sana,una maumivu ambayo yanakufanya ufikirie mbalii sana,unafikiria labda wewe una tatizo au labda humkidhi haja zake,au kuna something ana kimiss kwako,bt kiukwel unaumia,,pole sana..
Sasa wewe mwenyewe hujui cha kufanya bt je ushauri upi haswa unaotaka kutoka hapa jukwaani??? Je unataka kusikia unachokiwaza wewe kuhusu kumwacha au unataka tukupe ushauri kwa jinsi tunavyoona wanajamvi?
Kama mm ingekua ni wewe,kwanza ningeumia kias ila sio sana,na ningemshukur Mungu kwa kinifunulia nisilokua najua,na pia ningejitahid kukaa kimya kwa siku nzima bila kuchukua uamuz wwte,then natafuta muda mzr wa kupanga apointment ya jamaa,demu wako na km jamaa ana mke unamwambia aje nae kabisa,na ndugu yako anaemfaham shemej yke vzr,,mnakaa mnaandaa chakula na vinywaji,mnapoanza kula tu,unatoa ushahid wte hadharan,halaf unawaambia kila kitu,nimewasamehen na kuanzia leo we mwanamke mapenz yetu yamefika mwsho,na wewe brother nmekusamehe ila mungu atanilipia,then unasema haya tuendelee kula. Ila hakikisha kwamba unaacha kwel kwel,na uache kwa tabasam bila kuonyesha chuki,then baada ya mwez uone km hawajakonda...na kitakachowakuta wataomba pooo