Kifo Chafichua Maumivu

Kifo Chafichua Maumivu

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
12,485
Reaction score
24,798
Kilicho tokea leo ni kielelezo cha maumivu na manung'uniko ya watanzania..

Kifo cha mume wake mama Abduli kimegeuka kuwa ahueni ya wananchi.

Kuna namna ambayo watu wamekaa kimya mpaka nilikuwa nadhani labda ni nayehisi maumivu ya October 29, na kutekwa na mauaji ni mimi pekee ila leo kilicho toke na kinacho endelea kutokea ni direct expression ya pain.

Binafsi nimechukulia kama kama kifo kingine chochote na pole kwa familia. Ila expression na muitikio wa watanzania ni direct reflection ya maumivu yaliyo ndani yao kwa waliopotezwa bila hatia.

Je walengwa wanaliona hilo?
 
Kilicho tokea leo ni kielelezo cha maumivu na manung'uniko ya watanzania..

Kifo cha mume wake mama Abduli kimegeuka kuwa ahueni ya wananchi.

Kuna namna ambayo watu wamekaa kimya mpaka nilikuwa nadhani labda ni nayehisi maumivu ya October 29, na kutekwa na mauaji ni mimi pekee ila leo kilicho toke na kinacho endelea kutokea ni direct expression ya pain.

Binafsi nimechukulia kama kama kifo kingine chochote na pole kwa familia. Ila expression na muitikio wa watanzania ni direct reflection ya maumivu yaliyo ndani yao kwa waliopotezwa bila hatia.

Je walengwa wanaliona hilo?
Walengwa hawezi kuona maana tayari vyeo na mamlaka vimewalevya
 
Back
Top Bottom