Maumivu na raha ya kukataliwa

Maumivu na raha ya kukataliwa

du!! mimi mpaka sasa naugulia maumivu ya kibuti pamoja na yote aliyonifanyia nampenda to the maximum japo yeye hanitaki kabisaaaaaa

Pole sana aisee mi kuna alinipa kibuti karibia na UE aisee niliumiaje na kulia juu hafu hajali since then nimekua sugu i dont care about kibuti naona kawaida tu
 
Pole sana aisee mi kuna alinipa kibuti karibia na UE aisee niliumiaje na kulia juu hafu hajali since then nimekua sugu i dont care about kibuti naona kawaida tu

na wewe pole sana...hasa hivyo vya huo ni bala..mm nlipigwa nikiwa mwaka wa pili...dah chuo na darasa nliviona vichungu sana...
 
Ha ha ha ha ha usijali haupo peke yako, tukianzisha teamvibuti humu mimi nitakuwa mwenyekiti.
aise mimi ndo maana sr bachela mpaka leo...nshakula vibuti kaa vitatu vitakatifu...kingine hapa jf...ila siku hizi naona kawaida tu maana kwa huu umaskini wangu naona ni sawa tu...
 
Du kweli shule c had ukae darasani
Yeah!!
Hii sifa nadhani wanayo wanawake wengi, kama sio wote, hawapendi mwanaume anayeonekana anawapenda sana, wanachukulia ni udhaifu..
Ukimpenda sana, you will not command her, they like someone firm, who will direct them what to do, command them, and if neccessary beat them.

My current girlfriend is angry with me because I have never beat her, she is saying it plainly, she want me sometimes to give her some beating!!
 
na wewe pole sana...hasa hivyo vya huo ni bala..mm nlipigwa nikiwa mwaka wa pili...dah chuo na darasa nliviona vichungu sana...

Yani acha kabisa afu ni Ue loh ila nilijikaza sana kwakweli hakujali feelings zangu na time but nowdays sijali sana
 
Mi nilichopata fedheha pamoja na kibuti,nilimtumia barua asubuhi nakuta imetundikwa kwenye mbele ya assemble ya wanafunzi kama tangazo,sikuulizia hata majibu,nikimwona natamani ardhi ipasuke.
 
Maisha bana yana raha yake na karaha zake,kwenye ujana nako kuna mambo haya pia

Leo nimekutana na mtu ambae alinisababisha nikakumbuka mbali sana,nimekutana na binti mmoja ambae alinipa "wehu sana" miaka hiyo ya 2000

Binti huyu nili "mpenda" sana,wakati huo nilikuwa mwoga kiasi kwa wadada lakini huyu nilijikuta namvagaa na kumweleza shida yangu,wakati huo alikuwa anasoma kidato cha 5,aliniambia atafikiria na atakuja kun ipa jibu

Nilikaa huku kiroho kikinidunda kusubiria jibu,kwa namna nilivyokuwa siwajui wadada kwa kipindi kile nilijidanganya kuwa kweli atakuja kunipa jibu,nilisubiri sana huku nikijipitisha pale kwao na kumsalimia bila kuuliza chochote nikitarajia atakuja kuniambia mwenyewe

Ulipita mwezi mmoja kimya,kuna jamaa yangu akanishauri nimvagae kwenda kumuuliza,kiukweli mimi kwa tabia nina aibu kwenye kufa bnya jambo ambalo litaonekana sio la kistaarabu,nilijifikiria sana kuhusiana na jambo hili na nikajipa wiki na kusema kama hatanijibu basi namvagaa,wakati huu alikuwa akimuagiza mara kwa mara rafiki yake shida ya fedha mara kwa mara na mimi nilikuwa natoa,si nilipenda bana?

Wiki ilikatika bila majibu yoyote yale,niliamua kumuandikia kabarua kwasababu wakati huo sikuwa na simu ya mkononi kwani zilikuwa ndio zinaingia ingia na zilikuwa ghali kweli kweli,baada ya kuandika nilimuagiza rafiki yake ampelekee,kesho yake nilipokutana na huyu rafiki yake baada ya kutoka shule nilimuuliza na aliniambia kuwa alimpa na hakumjibu chochote hata baada ya kusoma

Nilijiuliza na iliona kama hanitaki hivi,sikujisikia vizuri kwakweli nakumbuka kuanzia siku hiyo nilikuwa napata hamu ya kula kwa taabu sana ...lol,ulipita uda huku nikiteseka kwapenzi la huyu dada na ilifikia wakati nikawa silali kabisa kwa kukosa usingizi,maisha yalikuwa magumu sana na siku moja niliamua kumfuata ili nijue hatma yangu

Nilimkuta akipika kwao na nilimuita na hakuja wala hakunijibu chochote,roho iliniuma sana na nakumbuka hadi nililia siku hiyo nilipofika nyumbani,nakumbuka kaka yangu aliniuliza kulikoni na nilimuambia na alinicheka sana,aliniambia kama mwanamke hanitaki si niachane nae? Nilimwambia kuwa nampenda na hakunielewa na aliniambia kuwa nitakuja kufa kwasababu ya mapenzi

Nilikonda kwakweli ....lol,muda uliendelea kupita na hali yangu kiafya na kifikra haikuwa nzuri kwakweli,siku moja niliamua kumvagaa wakati anatoka shule na kumuuliza kulikoni na aliniambia ataniandikia ujumbe na atamtuma yule rafiki yake,kidogo nilifarijika kwasababu alinijibu vizuri

Baada ya kuniambia hivyo nilihisi na njaa maana sikuwa hata nasikia njaa kwa mawazo,nilikwenda kula na nilirudi nyumbani na kusubiri majibu,muda wa saa moja usiku ulifika na niliona yule rafiki yake alkija na kijibahasha,nilijipa matumaini kuwa huenda nimetunukiwa "dhahabu"

Lahaula ....nilichokikuta humo yalikuwa ni majonzi tu,kwa kifupi binti huyu aliniambia kuwa ana mtu na hana kabisa mpango na mimi na nikiendelea kumfuatilia atamuambia huyo jamaa yake ili aninyooshe,kiukweli mimi huwa sipendi mavurugu,nilinyong'onyea na nilihuzunika sana siku hiyo,nakumbuka sikuweza kula vizuri kwa mwezi mmoja na nilipata ugumu sana kwenye shughuli zangu za kila siku kwa mwezi mzima ule

Lakini nashukuru sana kwani kwa tukio hili na mengine nilikuja kujifunza mengi sana kuhusiana na hawa wadada kwani ni viumbe wa kustaajabisha sana kwa asiewajua hasa hawa wavulana na wanaweza hata kujiua kabisa

Binti huyu kwassasa ni kke wa mtu na nilipokutana nae leo alinichekesha baada ya kunikumbusha yale ya kipindi kile na nilimuuliza sababu ya kunipa kile kibuti na aliniambia kuwa mimi mwenyewe ndio nilisababisha kwa kuonesha nampenda kupita kiasi

Mnaweza kuona kuwa kuna cha kujifun za hapo kuhusu hawa wadada ....

Wewe una kipi unakumbuka kuhusu kibuti cha nyakati hizo ambacho kilikupelekesha na ambacho ulijifunza?

kumpenda saana kwako ilimfanya yeye akuone limbukeni WA mapenzi,ke hawapendi watu limbukeni kwani uchukulia unajifunzia kwake.pole saana kaka the world is unfair.
 
oh!...ok! so you were in love too?

were you also the most wanted?
 
Ha ha ha ha ha usijali haupo peke yako, tukianzisha teamvibuti humu mimi nitakuwa mwenyekiti.

aise acha tu..kibuti bana kama haulo stable..kinaweza kukumaliza..ila mm naangalia kwa jicho linguine kwamba ni mtu anakua hajaclick na wewe tu..
 
Pole sana aisee mi kuna alinipa kibuti karibia na UE aisee niliumiaje na kulia juu hafu hajali since then nimekua sugu i dont care about kibuti naona kawaida tu

Ina maana umepigwa kingine na kingine?...pole
 
Yani acha kabisa afu ni Ue loh ila nilijikaza sana kwakweli hakujali feelings zangu na time but nowdays sijali sana

Aise...I understand na mara nyingi...hali hiyo hubadilisha sana matazamo wetu wa relationship zinazofuata
 
Back
Top Bottom