Kuna huyu alikuwa jirani yetu kipindi hicho hapa Dar kuna vipori tulikuwa tunafuga mbuzi kulikuwa kuna msichana fulani hivi anasoma olympio kipindi hicho ni ya kishua basi kila nikionana naye namhadithia kwamba kwetu kuna mbuzi mpaka akapata akili sasa hivi ana mtoto huyu ndio namjutia kwa kweli najiona mjinga kila nikikutana naye
Hao ndio niliwakosa kwa kweli
Vibuti vina umuhimu wake, vinginevyo unajaza masamtrela na makontena.
Yaani nimecheka hadi machozi. Hakukuambia kama kwao kuna tv hamna mbuzi? Hahaha
Yaani nimecheka hadi machozi. Hakukuambia kama kwao kuna tv hamna mbuzi? Hahaha
Yeah!!
Hii sifa nadhani wanayo wanawake wengi, kama sio wote, hawapendi mwanaume anayeonekana anawapenda sana, wanachukulia ni udhaifu..
Ukimpenda sana, you will not command her, they like someone firm, who will direct them what to do, command them, and if neccessary beat them.
My current girlfriend is angry with me because I have never beat her, she is saying it plainly, she want me sometimes to give her some beating!!
Hongereni xana.MsalimieHa ha ha.. Paloma yupo analea twins wetu..
Hebu punguza bana!
Pata picha vibuti vyangu vilikiwaje? Hehehe manake akili zenyewe zimeota majuzi hapa. Khaaa
hahaha siku hizi sipigi tena vibuti my dear, ila sitongozeki. Im taken jumla jumla bwana. Kwa hiyo ukianza nyimbo naangua vicheko tunaishia hapo. Ila enzi zile naringa khaaaa.
:llama::llama::llama:
Hongereni xana.Msalimie
Pole sana aisee mi kuna alinipa kibuti karibia na UE aisee niliumiaje na kulia juu hafu hajali since then nimekua sugu i dont care about kibuti naona kawaida tu
Unanichimba mkwara nisikutongoze au?hahaha siku hizi sipigi tena vibuti my dear, ila sitongozeki. Im taken jumla jumla bwana. Kwa hiyo ukianza nyimbo naangua vicheko tunaishia hapo. Ila enzi zile naringa khaaaa.
:llama::llama::llama:
Majibu ya shombo yalinikosti, nililetewa mabaunsa wanne wakati i was just 16. Nashkuru kiburi cha kuzaliwa ndio kilinilinda. He he he, raha kweli, wish i could turn back time jamani.
He he he, shosti hujaachika?
Ila kuwa taken jumla jumla kuna raha yake, melilaksi, hizi reja reja majanga.
Unanichimba mkwara nisikutongoze au?